08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kuwaangalia ndugu na jamaa na kuwafanyia wema na<br />

kuacha maovu. Alituamrisha kusimamisha swala na<br />

kutoa Zakat. Alituamrisha kujiepusha na maovu na<br />

kujiepusha na umwagaji damu. Alitukataza zinaa,<br />

kusema uwongo, kula mali ya yatima na kuwasingizia<br />

uovu wanawake watwaharifu. Alitufundisha Qur-an…”<br />

(A.H. Siddiqui – The life of Muhammad uk.78).<br />

Hali hii ya ujahili haikutawala Bara Arab peke yake, bali<br />

katika karne hii ya 6 A.D ulimwengu wote, Mashariki na<br />

Magharibi, ulizama katika giza totoro la uovu na ujahili.<br />

Ulimwengu katika zama hizo, wanyonge na watu wa chini<br />

walikandamizwa na kudhulumiwa pasina chembe ya huruma na<br />

wenye uwezo na watukufu miongoni mwao.<br />

Katika kipindi hicho, hata wale waliodai kufuata<br />

mafundisho ya Mitume wa Mwenyezi Mungu, Mayahudi na<br />

Wakristo, walikuwa katika giza hilo hilo la uovu na ujahili,<br />

Mayahudi waliacha mafundisho ya Mtume wao na wakaamua<br />

kuishi kulingana na matamanio ya nafsi zao. Walipotokea Mitume<br />

walifanyiwa maovu mengi kama ilivyobainishwa katika Qur-an.<br />

Wakristo nao waliacha mafundisho sahihi ya Nabii Issa (a.s)<br />

badala yake wakafuata Ushirikina wa Kirumi. Walileta uzushi<br />

mwingi juu ya Dini ya Allah (s.w) kama tunavyojifunza katika Quran:<br />

“Na Mayahudi wanasema:Uzeiri ni Mwana wa Mwenyezi Mungu’<br />

na Wakristo wanasema; ‘Masihi ni Mwana wa Mwenyezi Mungu’;<br />

haya ndiyo wayasemayo kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya<br />

wale waliokufuru kabla yao, Mwenyezi Mungu awaangamize.<br />

Wanageuzwa namna gani hawa!(9:30)<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!