08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wakasema) “Ee Mola wetu! Tutakabalie (amali yetu hii<br />

ya kujenga huu msikiti). Hakika wewe ndiye Mwenye<br />

kusikia, na Mwenye kujua.” (2:127<br />

“Ee, Mola wetu! Waletee Mtume anayetokana na wao,<br />

awasomee Aya Zako, na kuwafundisha Kitabu (chako) na<br />

hikima na awafundishe kujitakasa (na kila mabaya).<br />

Hakika Wewe ndiye Mwenye nguvu, na ndiye Mwenye<br />

hikima. (2:129)<br />

(ii) Kupewa jina la Muhammad (s.a.w)<br />

Kuzaliwa kwa Mtume (s.a.w) na kupewa jina la Muhammad<br />

na Babu yake, lililo na maana sawa na lile la Ahmad alilooteshwa<br />

mama yake ni jambo jingine linalothibitisha maandalizi haya. Jina<br />

la Ahmad lilitabiriwa katika Taurat na Injili kama tunavyojifunza<br />

katika Qur-an:<br />

“Na (wakumbushe) aliposema Issa bin Maryamu, ‘Enyi<br />

wana wa Israil! Mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu<br />

kwenu, nisadikishaye yaliyokuwa kabla yangu katika<br />

Taurat, na kutoa habari njema ya Mtume atakayekuja<br />

nyuma yangu ambaye jina lake litakuwa Ahmad. Lakini<br />

alipowajia kwa hoja zilizowazi walisema, ‘huu ni<br />

udanganyifu uliodhahiri”. (61:6).<br />

(iii) Malezi bora aliyoyapata<br />

Pamoja na kuwa Muhammad (s.a.w) alizaliwa akiwa yatima,<br />

alipata malezi bora na ya huruma kupitia kwa mama yake wa<br />

kunyonya- Bibi Halima bint Abi-Dhuaby. Mama huyu wa kabila la<br />

42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!