08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kila mmoja ni mchunga (kiongozi) na ataulizwa juu ya wale<br />

aliwachunga (aliowaongoza) (Bukhari na Muslimu).<br />

(iii) Kila muumini anawajibika kuwa khalifa wa Allah(s.w)<br />

katika jamii.<br />

........<br />

"Wakumbushe wakati Mola wako alipowaambia Malaika ,nitaleta<br />

katika ardhi Khalifa ….." (2:30)<br />

- Khalifa ni yule anayeongoza katika ardhi kwa niaba ya<br />

Allah(s.w) au yule anayesimamisha sharia za Allah(s.w)<br />

katika kukiendea kila kipengele cha maisha ya kibinafsi na<br />

ya kijamii.<br />

Aina za Uongozi<br />

Kuna aina mbili kuu za uongozi kwa mujibu wa Qur-an:<br />

“Allah ni kiongozi wa walioamini, huwatoa katika giza na<br />

kuwaingiza katika nuru.Lakini waliokufuru viongozi wao ni<br />

Matwaghut. Huwatoa katika nuru na kuwaingiza katika giza. Hao<br />

ndio watu wa Motoni, humo watakaa milele.” (2:257)<br />

Kutokana na ujumbe wa aya hii, tunajifunza kuwa pamoja na<br />

mifumo mingi ya Uongozi, kuna aina kuu za Uongozi:<br />

(i) Uongozi wa Allah (s.w).<br />

(ii) Uongozi wa Twaghut.<br />

188

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!