08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

‘masheikh’ na ‘wanazuoni’ wa Kiislamu wenye mrengo huu wa<br />

kutaka watu wawatukuze na kuwafuata kwa ajili ya maslahi yao<br />

binafsi, Allah (s.w) anatutahadharisha tuwaepuke katika aya<br />

zifuatazo:<br />

“Na wasomee habari za wale tuliowapa aya zetu (kuzijua),<br />

kisha wakajivua nazo (wasizifuate). Na shetani akawaandama,<br />

wakawa miongoni mwa waliopotea”.<br />

‘’Na kama tungelitaka tungeliwanyanyua kwazo, lakini wao<br />

waligandamana na ardhi (kutaka ukubwa wa Kidunia<br />

wakayatupa ya Akhera) na wakayafuata matamanio yao. Basi<br />

hali yao ni kama hali ya mbwa; ukimpigia kelele (hukimbia na<br />

huku) anahema, na ukimwacha pia huhema. Hiyo ndiyo hali ya<br />

watu waliozikadhibisha Aya zetu. Basi simulia hadithi, huenda<br />

wakatafakari”. Uovu ulioje wa mfano wa wanaozikadhibisha<br />

Aya zetu na wakajidhulumu nafsi zao (wenyewe Wanapigiwa<br />

mfano na mbwa!) Atakaowaongoza Mwenyezi Mungu ndio<br />

watakaoongoka; na atakaowaachia kupotea (kwa kuwa<br />

hawafuati anavyoamrisha,hao) ndio watakaopata<br />

khasara.“(7:175-178)<br />

126

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!