08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

.....................<br />

“Na ipiganieni dini ya Mwenyezi Mungu kama inavyostahiki<br />

kupiganiwa…” (22:78)<br />

Kuipigania Dini ya Allah katika haki ya kuipigania au kama<br />

inavyostahiki kupiganiwa, maana yake ni kudhamiria, kuweka<br />

mikakati na kufanya jitihada za makusudi za kusimamisha<br />

Uislamu katika jamii.<br />

(ii)Pepo hupatikana kwa kupigania kusimama<br />

kwa Uislamu katika jamii<br />

Allah (s.w), pamoja na kufaradhisha jihadi kwa waumini<br />

kama alivyo faradhisha Swala, Zakat, Swaumu na Hija, ameahidi<br />

pepo moja kwa moja kwa Mujahidina. Ilivyo ni kuwa lengo la<br />

kusimamisha Swala, Zakat, Swaumu na Hija na faradhi nyinginezo<br />

pamoja na utekelezaji wa sunna mbali mbali ni kumuwezesha<br />

muumini kuwa Mujahidina. Kama muislamu atatekeleza ibada<br />

mbali mbali za faradh na Sunnah bila kuwa mujahidina, amali<br />

zake zitakuwa zimeruka patupu. Hivyo, Allah (s.w) anawapa<br />

motisha waumini wafanye jitihada za makusudi katika kupigania<br />

Dini yake kwa malipo ya pepo kama inavyodhihirika katika aya<br />

zifuatazo:<br />

“Mwenyezi Mungu amenunua kwa waumini nafsi zao na mali<br />

zao (watoe nafsi zao na mali zao katika kupigania dini) ili na<br />

yeye awape Pepo. Wanapigana katika njia ya Mwenyezi<br />

Mungu; wanaua na wanauawa. Hii ndiyo ahadi<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!