08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Udugu, mapenzi na huruma baina ya Waislamu hawa wa<br />

kundi la Mtume (s.a.w) uliwawezesha Waislamu kushikamana<br />

pamoja na kufikia lengo la kusimamisha Uislamu katika jamii yao<br />

pamoja na upinzani mkubwa wa maadui wa Uislamu uliokuwapo.<br />

Allah (s.w) anawasifu Waislamu hawa kama ifuatavyo:<br />

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio<br />

pamoja naye ni wenye nyoyo thabiti mbele ya makafiri na<br />

wenye kuhurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama<br />

na kurukuu na kusujudu (pamoja) wakitafuta fadhila za<br />

Mwenyezi Mungu na radhi (yake). Alama zao zi katika<br />

nyuso zao, kwa taathira ya kusujudu. Huo ndio mfano wao<br />

katika Taurati. Na mfano wao katika Injili; Kuwa wao ni<br />

kama mmea uliotoa matawi yake; kisha (matawi hayo)<br />

yakautia nguvu, ukawa mnene ukasimama sawa sawa juu ya<br />

kigogo chake, ukawafurahisha walioupanda; ili<br />

awakasirishe makafiri kwa ajili yao. Mwenyezi Mungu<br />

amewaahidi walioamini na kutenda mema katika wao<br />

msamaha na ujira mkubwa. (48:29)<br />

Kundi la kuhuisha na kusimamisha Uislamu halina budi<br />

kuiga kundi hili.<br />

94

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!