08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kama watu watajenga kwa kujitolea kufyatua tofali n.k.<br />

ielezwe au kama atatafutwa mkandarasi ielezwe pia na wapi<br />

fedha za kumlipa zitatoka.<br />

(5) Lini? Ili kufuatilia utekelezaji, ni lazima ielezwe<br />

shughuli zitaanza na kukukamilika lini. Lini shule<br />

itaanza kujengwa na lini itakamilika. Zahanati itaanza<br />

kujengwa lini na lini itaanza kufanya kazi, na lini fedha<br />

za mfuko wa misaada zitaanza kuchangwa na lini<br />

mikopo itaanza kutolewa.<br />

(6) Wapi – ni lazima ionyeshwe shule na zahanati<br />

zitajengwa wapi, Ardhi itapatikana wapi na taratibu zote<br />

za kumiliki zifuatwe.<br />

Kwa upande wa mfuko wa misaada ielezwe fedha<br />

zitahifadhiwa wapi Mfano Benki ya Taifa ya biashara, Benki<br />

ya CRDB na n.k.<br />

(7) Kwa gharama gani? Gharama za kila mradi zionyeshwe,<br />

mfano:<br />

(a) Shule – milioni 50.<br />

(b) Zahanati milioni 20.<br />

(c) Mfuko wa misaada milioni 30.<br />

(8) Nini faida ya kufanya yote haya? utapatikana msingi na<br />

mazingira mazuri ya kuusimamisha Uislamu.<br />

Kama tulivyotaja awali, kuwa na mipango kama hii, ndiyo<br />

njia pekee ya kujua wapi watu wanaelekea na hatua waliyopiga<br />

katika maendeleo. Bila kuwa na mipango, Imamu wa Msikiti au<br />

Katibu wa Jumuiya hatajua majukumu yake. Ataamua kufanya<br />

lolote analoona linafaa kwa sababu hana dira. Aidha. Waumini<br />

nao hawatakuwa na mahali maalum pa kupeleka mali zao na nguvu<br />

175

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!