08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Yeye tutarejea (atatupa jaza yake)”.<br />

Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na<br />

rehema; na hao ndio wenye kuongoka”. (2:155-157).<br />

7. Kuwa na Hekima<br />

Hekima ni miongoni mwa sifa kuu muhimu anayotakiwa awe<br />

nayo Mwanaharakati.Kamwe mafanikio hayatapatikana pasi na<br />

kutumia hekima. Kutumia hekima katika Harakati ni maamrisho<br />

ya Allah (s.w.) kama anavyotuagiza katika aya ifuatayo:<br />

Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa Hekima na<br />

mawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora.<br />

Hakika Mola wako ndiye anayemjua aliyepotea katika njia<br />

yake, naye ndiye anayewajua walioongoka. (16:125)<br />

Hekima ni kipengele cha tabia njema chenye maana pana.<br />

Hekima kwa ujumla ni kufanya jambo la sawa sawa kwa namna ya<br />

sawasawa kwa wakati wa sawa sawa katika mazingira ya sawa<br />

sawa.<br />

Mafunzo na mazoezi ya kumuandaa mwanaharakati<br />

Mwanaharakati baada ya kuzifahamu hizo sifa saba za<br />

msingi, hanabudi kufanya jitiahada za makusudi za kujiandaa<br />

kama alivyo andaliwa Mtume (s.a.w). Tunajifunza katika historia<br />

kuwa Mtume (s.a.w) aliandaliwa ki-il-hamu na kimafunzo.<br />

Pamoja na kuzingatia mafunzo yatokanayo na maandalizi ya<br />

Mtume (s.a.w) ya ki-il-hamu, hatunabudi pia kuzingatia mafunzo<br />

ya ujumbe wa wahy wa mwanzo mwanzo alioshushiwa Mtume<br />

(s.a.w) katika kukabidhiwa dhima ya utume katika:<br />

76

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!