08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

na Wakristo kama Allah (s.w) anavyotukumbusha katika Qur-an:<br />

Wamewafanya wanavyuoni wao, na watawa (Mapadri) wao<br />

kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu, na (wamemfanya)<br />

Masihi mwana wa Maryamu (pia Mungu), hali<br />

hawakuamrishwa isipokuwa kumuabudu Mungu mmoja,<br />

hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye.Ametakasika na yale<br />

wanayomshirikisha nayo.(9:31)<br />

Waislamu, hatuna budi kufahamu kuwa hapana udhuru wowote<br />

tutakaotoa mbele ya Allah (s.w) juu ya kupotezwa kwetu na masheikh<br />

waovu. Wao wana malipo yao mbele ya Allah (s.w) na sisi wenye<br />

kukubali kupotezwa na wao pia tuna malipo yetu. Kuhusu malipo ya<br />

Masheikh waovu tunafahamishwa:<br />

......<br />

Hakika wale wanaouza ahadi ya Mwenyezi Mungu na viapo<br />

vyao kwa ajili ya thamani ndogo ya kilimwengu, hao ndio<br />

hawatakuwa na sehemu ya kheri katika akhera, (3:77)<br />

Kuhusu malipo ya wale wenye kufuata Masheikh kibubusa bila<br />

ya kutumia nuru ya Qur-an na Sunnah, tunafahamishwa katika aya<br />

zifuatazo:<br />

(Wakumbushe wakati) wanaofuatwa watakapowakataa wale<br />

waliowafuata,na hali ya kuwa wamekwisha kuiona<br />

adhabu,yatakatika mafungamano yao. (2:166).<br />

154

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!