08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Na ni nani asemaye kauli bora zaidi kuliko (yule) aitaye<br />

(watu) kwa Mwenyezi Mungu, (mwenyewe) akawa anafanya<br />

vitendo vizuri na kusema (kwa maneno yake na vitendo<br />

vyake) “Hakika mimi ni miongoni mwa Waislamu”. (41 :33)<br />

Kutokana na aya hii tunajlfunza kuwa mlinganiaji hanabudi<br />

kuwa na sifa za msingi zifuatazo:<br />

(i) Awe na ujuzi sahihi juu ya Uislamu<br />

(ii) Awe ni mfano wa kuigwa katika kuufuata Uislamu katika<br />

kukiendea kila kipengele cha maisha yake ya kibinafsi na ya<br />

kijamii kwa kadiri ya uwezo wake. Yaani mlinganiaji awe ni<br />

mwenye kujipamba na vipengele vyote vya tabia njema kama<br />

vilivyo ainishwa katika Qur’an na Sunnah<br />

Kwa ujumla, ili mlinganiaji aweze kuwaleta watu kwenye<br />

Uislamu kiasi cha kuwa tayari kuufuata na kuusimamisha katika<br />

jamii, hanabudi kujipamba na Sifa za Mwanaharakati<br />

zilizoainishwa katika Qur’an na Hadithi sahihi za Mtume (s.a.w)<br />

ambazo ni:<br />

Ujuzi sahihi juu ya Uislamu.<br />

Imani thabiti na kuwa na msimamo.<br />

Tabia njema ya kiutendaji.<br />

Lengo kuu la maisha liwe ni kusimamisha Uislamu katika<br />

jamii.<br />

Kutarajia malipo kutoka kwa Allah (s.w) tu .<br />

Kuwa na Hekima.<br />

Kuwa na Subira. (Rejea Sifa za Mwanaharakati<br />

sura ya tatu).<br />

Mlinganiaji wa Uislamu atakapoamua kulingania bila ya<br />

kujipamba na sifa stahiki zilizoorodhesha, si tu hatafanikiwa<br />

kuwashawishi watu kuwa Waislamu na kuwajengea ari na hamasa<br />

120

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!