08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hamtamdhuru (Mungu) chochote (mkitopigania dini yake);<br />

na Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu. (8:39)<br />

Enyi mlioamini! Mna nini mnapoambiwa “Nendeni<br />

(kupigana) kwa ajili ya dini ya Mwenyzi Mungu” mnajitia<br />

uzito katika ardhi? Je, mumekuwa radhi na maisha ya dunia<br />

kuliko ya Akhera? Lakini starehe za maisha ya dunia kwa<br />

mkabala wa maisha ya akhera ni kidogo tu. (9:38)<br />

Waislamu watakapoitikia wito huu wa kupigana na makafiri,<br />

Allah (s.w.) ameahidi kuwasaidia na kuwapa ushindi na uongozi<br />

juu ya makafiri.<br />

.........<br />

.........Na bila shaka Mwenyezi Mungu humsaidia yule<br />

anayesaidia dini yake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye<br />

nguvu Mwenye kushinda. “ (22:40)<br />

(ii) Kuondoka khofu na kupatikana amani na<br />

furaha ya kweli:<br />

Waumini watakaposhika hatamu ya uongozi wa jamii, khofu<br />

itatoweka na utulivu na amani ya kweli itachukua nafasi yake. Hii<br />

inawezekana kwa sababu waumini ambao ni Makhalifa wa Allah<br />

(s.w.) hufuata kanuni, sheria na mwongozo wa Allah (s.w.)<br />

ulioainishwa katika vitabu vyake na Sunnah ya Mitume wake.<br />

Mitume na Vitabu vya Allah vilivyoambatanishwa nao,<br />

hawakuletwa kwa lengo lingine lolote ila kusimamisha na<br />

kusimamia uadilifu katika jamii.<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!