08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mashabiki wa Kidini (fanatics), magaidi (terrorists), n.k. Allah (s.w)<br />

anatuamrisha tusubiri juu ya hayo wayasemayo dhidi yetu na<br />

tuwaepuke mwepuko mwema. Kuwaepuka mwepuko mwema ni<br />

kuyapuuza hayo wayasemayo dhidi yetu na tusilumbane nao<br />

wakajatutoa kwenye agenda yetu. Jibu la tusi kwa muungwana ni<br />

“hewala” na jibu la muumini kwa jahili ni “salama”.<br />

“Na waja wa Rahmani, ni wale wanaokwenda ulimwenguni<br />

kwa unyenyekevu; na majahili wakisema nao (maneno<br />

mabaya) huwajibu (maneno ya) salama.” (25:63).<br />

Tukirejea historia, baada ya makafiri kushindwa kuzuia<br />

harakati za kusimamisha Uislamu kwa maneno ya kukatisha<br />

tamaa, waliandaa nguvu za kuzuia Uislamu kwa matendo kama vile<br />

kutesa, kufunga gerezani, kufukuza nchini na kuua. Haya ndiyo<br />

mazingira halisi katika harakati za kusimamisha Uislamu na ndiyo<br />

sunnah ya harakati aliyoiweka Allah (s.w) kama<br />

anavyotukumbusha:<br />

Na namna hii tumemfanyia kila Nabii maadui; (nao ni)<br />

mashetani katika watu na (mashetani katika) majini. Baadhi<br />

yao wanawafunulia wenziwao maneno ya kupambapamba<br />

ili kuwadanganya. Na kama Mola wako angalipenda<br />

wasingalifanya hayo, (angewalazimisha kwa nguvu kutii).<br />

Basi waache na uwongo wao. (6:112)<br />

59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!