08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Wanataka kuzima nuru ya Mwenyezi Mungu (Uislamu) katika<br />

jamii kwa vinywa vyao, hakika Mwenyezi Mungu atakamilisha<br />

nuru yake ijapokuwa makafiri watachukia.” (61 :8)<br />

Kama ilivyo Sunnah (kawaida) yake, Allah (s.w.)<br />

hatausimamisha Uislamu katika jamii kwa kuwahilikisha makafiri<br />

wote katika jamii au kuwalazimisha watu wote wawe waumini, bali<br />

anaahidi kutimiza nuru yake kwa kuwasaidia waumini dhidi ya<br />

makafiri pale watakapokuwa tayari kujitoa muhanga kwa mali zao<br />

na nafsi zao kupigania uhuru wao wa kufuata Uislamu katika kila<br />

kipengele cha maisha ya jamii.<br />

Umuhimu wa kusimamisha Uislamu katia Jamii<br />

Umuhimu wa kusimamisha Uislamu katika jamii unadhihiri<br />

katika vipengele vifuatavyo:<br />

(i) Kusimamisha Uislamu ni faradh (lazima) kwa waumini.<br />

(ii) Msamaha na Pepo ya Allah (s.w) imeahidiwa kwa wenye<br />

kufanya juhudi za makusudi za kusimamisha Uislamu.<br />

(iii)Allah (s.w) ameshusha chuma (silaha) kwa lengo la<br />

kusimamisha Uislamu katika jamii.<br />

(iv)Kusimamisha Uislamu katika jamii ndio lengo kuu la<br />

maisha ya muumini.<br />

(i) Kusimamisha Uislamu katika jamii ni faradh:<br />

Kwa Waislamu, suala la kusimamisha Uislamu katika jamii<br />

limefaradhishwa kwao kama ilivyo faradhishwa Swala, Zakat,<br />

Swaumu na Hijja, kama tunavyojifunza katika aya ifuatayo:<br />

6

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!