08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Huwapati (huwaoni) watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu<br />

na Siku ya Mwisho, kuwa wanawapenda wale wanaompinga<br />

Mwenyezi Mungu na Mtume wake; hata wakiwa ni baba zao au<br />

watoto wao au ndugu zao au jamaa zao. Hao ndio ambao<br />

(Mwenyezi Mungu) ameandika (amethibitisha kweli kweli)<br />

nyoyoni mwao imani na akawatia nguvu kwa Roho itokayo<br />

kwake; na atawaingiza katika Mabustani yapitayo mito mbele<br />

yake humo watakaa daima. Mwenyezi Mungu amekuwa radhi<br />

nao, na wao wamekuwa radhi Naye. Hao ndio kundi la<br />

Mwenyezi Mungu. Sikilizeni! Hakika kundi la Mwenyezi Mungu<br />

ndilo linalofaulu”. (58:22)<br />

3. Tabia Njema (Tabia ya utendaji)<br />

Sifa hii ni kuwa maneno ya Mwanaharakati yawe ni kioo cha<br />

matendo yake. Hana budi kutenda vilivyo lile analolikubali kuwa ni<br />

sahihi,na hana budi kujiepusha na lile analoliona kuwa si<br />

sahihi.Yaani kabla hajafikia hatua ya kuwaamrisha wengine<br />

kufanya mema na kuwakataza kufanya maovu, hana budi yeye<br />

mwenyewe kujihimu kufanya mema na kujiepusha kufanya<br />

maovu.Tabia yake njema iwavutie watu zaidi kuliko maneno<br />

yake.Mwanaharakati mwenye tabia hii ya utendaji ndiye pekee<br />

atakayefanikiwa katika kazi hii kama anavyotuthibitishia Allah<br />

(s.w) katika Quran:<br />

Na nani asemaye kauli bora zaidi kuliko yule aitaye (watu}<br />

kwa Allah na akafanya vitendo vizuri na husema (kwa<br />

maneno yake na vitendo vyake hakika mimi ni miongoni<br />

mwa Waislamu. (41 :33)<br />

Mwanaharakati hana budi kufahamu kwamba hataweza<br />

kuhuisha na kusimamisha Uislamu katika jamii, wakati yeye<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!