08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

zao. Kila mmoja atafanya ajualo na awezalo. Matokeo yake ni<br />

kukosekana kwa mshikamano, kupoteza nguvu na juhudi za bure<br />

na kukosekana kwa maendeleo kwa ujumla.<br />

Mfano halisi ni hali ya Misikiti yetu na jumuiya zetu hivi leo.<br />

Kwa vile Misikiti haina mipango yoyote ya maendeleo, Imamu<br />

huishia kuongoza swala na maamuma kuswali na kutawanyika.<br />

Hakuna lolote linalofanyika kuwaletea maendeleo ya elimu,<br />

uchumi na afya katika eneo lao.<br />

Kubwa linalofanyika ni kutoa mawaida na kuamsha hamasa<br />

bila ya kuweka mipango ya kutafsiri mawaida na hamasa hizo<br />

katika vitendo vya kimaendeleo. Watu wamekuwa kana kwamba<br />

wanasubiri maendeleo yao yashuke toka mbinguni au kuletwa na<br />

watu wengine.<br />

Kisa cha kuokolewa Nabii Nuhu (a.s) na gharka pamoja na<br />

wale aliokuwa nao katika safina kina funzo kubwa juu ya mipango.<br />

Tunafahamu kuwa baada ya wale waliokufuru kukataa kabisa<br />

kuukubali ujumbe alioleta Nabii Nuhu; Mwenyezi Mungu<br />

aliwaangamiza na kuwaokoa wale wachache walioamini.<br />

............<br />

“… ........ Basi tukamwokoa yeye na waliokuwa naye katika<br />

jahazi. Na tukawafanya wao ndio waliobakia ulimwenguni.Na<br />

tukawazamisha wale waliozikadhibisha aya zetu…......” (10:73)<br />

Tunajua kwamba Mwenyezi Mungu atakapo jambo<br />

huliambia liwe na likawa.<br />

Hakika amri yake anapotaka chochote (kile kitokee) ni<br />

kukiambia: “Kuwa”; basi mara moja huwa. (36:82)<br />

176<br />

..........

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!