08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“...........Na Allah (s.w) atosha kuwa shahidi” ina maana<br />

kubwa mbili:<br />

Kwanza, Allah (s.w) anashuhudia kuwa Mtume wake<br />

alifikia lengo la kuletwa kwake baada ya miaka 23 ya kazi ngumu.<br />

Tukirejea historia, ushuhuda huu anautoa Allah (s.w) pale Mtume<br />

(s.a.w) na kundi lake la waumini walipowashinda maadui zao wote,<br />

ikiwemo dola ya Kirumi iliyokuwa “Super power” ya nyakati<br />

hizo. Maadui wengine walikuwa Mayahudi, Wanafiki, Makafiri wa<br />

Kiquraish na Makabila mengine ya Waarabu. Maadui wote hawa<br />

walikatishwa tamaa na nguvu ya Dola ya Kiislamu, kama Allah<br />

(s.w) alivyombainishia Mtume wake, alipokuwa Arafa katika Hija<br />

ya kuaga (Hijjatul-Wadaa) 9Dhul Hija 10A.H, kuwa:<br />

“…. Leo waliokufuru wamekata tamaa katika Dini yenu, basi<br />

msiwaogope, bali niogopeni Mimi. Leo nimekukamilishieni Dini<br />

yenu, na kukutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni Uislamu<br />

uwe Dini yenu ….” (5:3).<br />

Aya hii inatoa ushahidi wa wazi kuwa Uislamu ulikuwa juu ya<br />

mifumo yote ya maisha ya jamii wakati wa Mtume (s.a.w).<br />

Pili, Allah (s.w) pia anashuhudia kuwa wakati wowote<br />

Waislamu watakapoamua kusimamisha Uislamu katika jamii yao<br />

kwa kufuata baraabara mwenendo wa Mtume (s.a.w) na<br />

maswahaba zake, wataweza kusimamisha Uislamu katika jamii<br />

kama Allah (s.w) anavyoahidi katika aya ifuatayo:<br />

2

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!