08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Oh! Nyinyi mnawapenda (maadui zenu hao), hali wao<br />

hawakupendeni! Nanyi mnaamini vitabu vyote (chenu na<br />

vyao). Na wanapokutana nanyi husema, “Tumeamini”.<br />

Lakini wanapokuwa peke yao wanakuumieni vyanda kwa<br />

uchungu (wa kukuchukieni). Sema: “Kufeni kwa uchungu<br />

wenu (huo); hakika Mwenyezi Mungu anayajua (hata)<br />

yaliyomo vifuani.” (3:119)<br />

Ikikupateni kheri huwasikitisha. Na ikikupateni shari<br />

wanaifurahia. Na kama nyinyi mkisubiri na mkamcha Mungu<br />

hila zao hazitakudhuruni kitu. Hakika Mwenyezi Mungu<br />

anayajua vizuri yote wanayoyatenda. (3:120)<br />

Kwanini Mayahudi na Wakristo wanauchukia sana Uislamu na<br />

Waislamu? Wanauchukia Uislamu kwa sababu Qur-an inawaumbua<br />

kuwa hawafuati vilivyo mafundisho ya Mitume wao na Vitabu vyao<br />

wanavyodai kuvifuata, bali wamechanganya haki na batili kwa ajili tu<br />

ya kutafuta maslahi ya maisha ya dunia. Qur-an inawalingania mara<br />

kwa mara na kuwaita kwenye Uislamu kama kweli wanadai kuwa<br />

wanafuata mafundisho ya Mitume na Vitabu vya Mwenyezi Mungu.<br />

Allah (s.w) anawalingania:<br />

140

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!