08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Allah (s.w) anawabainishia Mayahudi na Wakristo kuwa,<br />

kama hawataifuata Taurati, Injili na Qur-an katika kuendesha<br />

maisha yao ya kibinafsi na ya kijamii, watakuwa wamekufuru kama<br />

walivyokufuru makafiri wengine.<br />

Watu wanaomkurubia zaidi Ibrahimu ni wale waliomfuata<br />

yeye (katika zama zake) na Mtume huyu (Muhammad) na<br />

waliomwamini (Mtume huyu). Na Mwenyezi Mungu ndiye<br />

Mlinzi wa wenye kuamini. (3:68)<br />

Kwa kuzifahamu vyema chuki zao na uadui wao dhidi ya<br />

Uislamu na Waislamu, Allah (s.w) ametukataza kuwatii na<br />

kuwafanya Mayahud na Wakristo rafiki zetu.<br />

Enyi Mlioamini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa<br />

marafiki (wa kuwapa siri zenu); wao kwa wao ni marafiki.<br />

Na miongoni mwenu atakayefanya urafiki huo nao, basi<br />

huyo atakuwa pamoja nao. Hakika Mwenyezi Mungu<br />

hawaongozi (njia ya kheri) watu madhalimu. (5:51)<br />

142

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!