08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mambo. Na ufungapo nia mtegemee Mwenyezi Mungu tu<br />

(ufanye hilo uliloazimia). Hakika Mwenyezi Mungu<br />

anawapenda wamtegemeao. (3:159).<br />

Katika aya hii tunajifunza kuwa kiongozi wa Kiislamu<br />

anatakiwa awe mpole na laini mwenye huruma na upendo kwa<br />

wale anaowaongoza na awe ni mwenye kushauriana nao katika<br />

kuendesha mambo. Pia tunajifunza katika aya hii kuwa Waislamu<br />

wanapoazimia kufanya jambo baada ya kushauriana, wasizembee<br />

wala kusita bali walitekeleze mara moja huku wakimtegemea<br />

Mwenyezi Mungu.<br />

Pia tunajifunza katika Qur-an kuwa watakaofuzu na<br />

kustahiki malipo mema ya akhera ni pamoja na wale<br />

wanaoshauriana katika kuendesha mambo yao ya kheri:<br />

Basi vyote hivi mlivyopewa ni starehe ya maisha ya dunia tu,<br />

lakini kilichoko kwa Mwenyezi Mungu ni bora na cha<br />

kudumu(milele). Watakistahiki wale walioamini na wakawa<br />

wanamtegemea Mola wao. Na wale wanaojiepusha na<br />

madhambi makubwa na mambo mabaya, na wale ambao<br />

wanapokasirika husamehe.<br />

Na wale waliomuitikia Mola wao (kwa kila amri zake) na<br />

wakasimamisha Sala, na wanashauriana katika mambo yao<br />

na wanatoa katika yale tuliyowaruzuku.(42:36:38)<br />

100

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!