08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Nu’man bin Bashir (r.a) amesema kuwa Mtume wa Allah<br />

amesema: “utawaona waumini wakifanyiana wema,<br />

wakipendana na kuhurumiana kama mwili mmoja. Wakati<br />

kiungo kimoja kikiugua, mwili mzima huhisi homa na<br />

hukesha (kwa maumivu). (Bukhari na Muslim)<br />

Aidha katika Hadith nyingine,<br />

Nu’uman bin Bashir (r.a) amesema kuwa Mtume wa Allah<br />

amesema: “Waumini ni sawa na mwili mmoja. Kama<br />

macho yanauma (yana matatizo), mwili mzima unauma<br />

(una matatizo), kama kichwa chake kinauma basi mwili<br />

mzima unauma”. (Muslim).<br />

Hadith hizi zinatufahamisha na kutukumbusha kuwa tatizo<br />

la Muislam mmoja ni tatizo la Waislamu wote, kwa hiyo hawana<br />

budi kushirikiana pamoja kwa hali na mali katika kuondoa tatizo<br />

hilo.<br />

(ii) Kutekelezeana wajibu<br />

Kila Muislamu anawajibika kumtendea Muislamu mwenziwe<br />

mambo sita yaliyoelezwa katika Hadith ifuatayo:<br />

Abu Hurairah (r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah<br />

amesema: Haki za Muislamu kwa Muislamu mwingine ni<br />

sita. Ikaulizwa ni zipi hizo ewe Mtume wa Allah? Akajibu:<br />

(1) Ukikutana naye msalimie; (2) Akikuita mwitikie; (3)<br />

Akitaka ushauri mpe; (4) Akipiga chafya na akasema Alhamdulillah<br />

mwitikie (mrehemu kwa kusema<br />

Rahmakallaah); (5) Anapokuwa mgonjwa, nenda<br />

kamtazame na (6) Anapokufa fuata jeneza lake (mzike).<br />

(Muslim)<br />

89

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!