08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Wale ambao tukiwamakinisha (tukiwapa mamlaka) katika<br />

ardhi husimamisha swala na wakatoa zaka na wakaamrisha<br />

yaliyo mema na wakakataza yaliyo mabaya. Na marejeo ya<br />

mambo ni kwa Mwenyezi Mungu.” (22:41).<br />

Jamii ya Kiislamu imekuwa bora mbele ya Allah (s.w.) kuliko<br />

jamii nyingine kwa sababu ya kuiweka jamii katika hali ya utulivu<br />

na amani kwa kuamrisha mema na kukataza maovu.<br />

......................<br />

“Nyinyi ndio umma bora kuliko umma zote<br />

zilizodhihirishiwa watu (Ulimwenguni) - mnaamrisha yaliyo<br />

mema na mnakataza yaliyo maovu, na mnamuamini<br />

Mwenyezi Mungu .... “ (3: 110)<br />

Waumini, hata kama hawajafikia uwezo wa kuwa na Dola ya<br />

Kiislamu, hawanabudi kuamrisha mema na kukataza maovu kwa<br />

kadiri ya uwezo wao. Mtume (s.a.w.) amesisitiza hili katika Hadith<br />

zifuatazo:<br />

Abu Said Al-Khudri (r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah<br />

amesema: “Yeyote miongoni mwenu atakayeona jambo ovu<br />

na aliondoe kwa mkono wake, kama hawezi (kuliondoa kwa<br />

mkono) na aliondoe kwa ulimi na kama hawezi kuliondoa<br />

kwa ulimi na achukie moyoni mwake na huku kuchukia kwa<br />

moyo tu ni kiwango cha chini cha imani.” (Muslimu)<br />

24

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!