12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 13. Katika Uholandi na Scandanavia<br />

Katika Uholandi ukali wa Papa ukaleta haraka upinzani. Miaka mia saba kabla <strong>ya</strong> Luther,<br />

askofu wa Roma kwa uhodari akashitakiwa na maaskofu wawili, waliotumwa kuwa mabalozi<br />

huko Roma, wakajifunza tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> “jambo takatifu la askofu”; “Unakaa mwenyewe<br />

ndani <strong>ya</strong> hekalu la Mungu; baada <strong>ya</strong> mchungaji unakuwa mbwa mwitu kwa kondoo, ... lakini<br />

ulipashwa kuwa mtumishi wa watumishi, kama upendavyo kujiita mwenyewe, unatumaini<br />

kuwa bwana wa mabwana. ... Unaleta ha<strong>ya</strong> kwa amri za Mungu.”<br />

Wengine wakatokea katika karne zote kukariri kukataa huku. Biblia <strong>ya</strong> Wavaudois<br />

ilitafsiriwa katika lugha <strong>ya</strong> Kijeremani. Wakatangaza “kwamba hapo kulikuwa faida ndani<br />

<strong>ya</strong>ke; hakuna mizaha wala uongo, wala mambo <strong>ya</strong> michezo, wala udanganyifu, bali maneno<br />

<strong>ya</strong> kweli.” Ndivyo waliandika rafiki za imani <strong>ya</strong> zamani tangu karne <strong>ya</strong> kumi na mbili.<br />

Sasa wakati wa mateso <strong>ya</strong> kanisa la Roma ikaanza; lakini waaminifu wakaendelea<br />

kuongezeka, kutangaza kwamba Biblia ni mamlaka pekee <strong>ya</strong> haki katika dini na kwamba<br />

“hakuna mtu anayepashwa kushurutishwa kuamini, bali angepashwa kusadikishwa kwa njia<br />

<strong>ya</strong> mahubiri.”<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>kapata katika Uholandi watu wa juhudi na waaminifu kwa<br />

kuhubiri injili. Menno Simons, mtu wa elimu mkatoliki na aliyetakaswa kwa upadri, alikuwa<br />

mjinga kabisa wa Biblia na hakuisoma kwa ajili <strong>ya</strong> hofu <strong>ya</strong> upinzani wa ibada <strong>ya</strong> dini. Kwa<br />

ondoleo la zambi akajitahidi kun<strong>ya</strong>mazisha sauti <strong>ya</strong> zamiri, lakini bila manufaa. Baada <strong>ya</strong><br />

wakati akaongozwa kujifunza Agano Jip<strong>ya</strong>; hili pamoja na maandiko <strong>ya</strong> Luther ikamletea<br />

kukubali imani <strong>ya</strong> matengenezo. Kwa mda kitambo akashuhudia mtu aliyeuawa kwa sababu<br />

alibatizwa mara <strong>ya</strong> pili. Jambo hili likamwongoza kujifunza Biblia kwa ajili <strong>ya</strong> ubatizo wa<br />

watoto wadogo. Aliona kwamba toba na imani vinahitajiwa kuwa sababu <strong>ya</strong> ubatizo.<br />

Menno akatoka kwa kanisa la Roma na akajitoa wakfu kwa kufundisha maneno <strong>ya</strong> ukweli<br />

aliyokubali. Katika Ujeremani na Uholandi kundi la washupavu likatokea, kuharibu kanuni<br />

na adabu, na kuendelea kufan<strong>ya</strong> maasi. Menno kwa nguvu zake zote akapinga mafundisho <strong>ya</strong><br />

uongo na mashauri <strong>ya</strong> ushenzi <strong>ya</strong> washupavu. Kwa miaka makumi mbili na tano akapitia<br />

Uhollande na upande wa kaskazini <strong>ya</strong> Ujeremani, kutumia mvuto mkubwa sana, kufananisha<br />

katika maisha <strong>ya</strong>ke mwenyewe mafundisho aliyofundisha. Alikuwa mtu wa haki, mpole na<br />

mtulivu, mwaminifu na mwenye bidii. Hesabu kubwa <strong>ya</strong> watu wakageuka sababu <strong>ya</strong> kazi<br />

zake.<br />

Katika Ujeremani Charles V alikomesha Matengenezo, lakini watawala wakasimama<br />

kama boma juu <strong>ya</strong> utawala wa ukaidi wake. Katika Uhollande mamlaka <strong>ya</strong>ke ilikuwa kubwa<br />

sana. Amri za mateso zikafuatana kwa upesi. Kwa kusoma Biblia, kuisikia ao kuihubiri,<br />

kumwomba Mungu kwa siri, kukataa kusujudu mbele <strong>ya</strong> sanamu ao kuimba Zaburi ilikuwa<br />

azabu <strong>ya</strong> kifo. Maelfu waliangamia chini <strong>ya</strong> Charles na Philip II.<br />

93

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!