12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Lakini wale waliotamani sababu <strong>ya</strong> kukataa kweli wakafunga masikio <strong>ya</strong>o kwa maelezo<br />

ha<strong>ya</strong>, na maneno “Hakuna mtu anayejua siku ao saa” <strong>ya</strong>kaendelea kukaririwa na watu wa<br />

zarau na hata wanaojidai kuwa wahubiri wa Kristo. Wakati watu walipoanza kuuliza njia <strong>ya</strong><br />

wokovu, walimu wa dini wakajitia kati <strong>ya</strong>o na ukweli kwa kufasiri kwa uongo Neno la<br />

Mungu.<br />

Waaminifu zaidi katika makanisa walikuwa kwa kawaida wa kwanza kupokea habari.<br />

Mahali ambapo watu hawakuwa wakiongozwa na wapadri, mahali ambapo wangeweza<br />

kutafuta Neno la Mungu wao wenyewe, mafundisho <strong>ya</strong> kurudi <strong>ya</strong>lihitaji tu kulinganishwa<br />

pamoja na Maandiko juu <strong>ya</strong> kuimarisha mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimungu.<br />

Wengi waliongozwa viba<strong>ya</strong> na waume, wake, wazazi, ao watoto na walifanywa kuamini<br />

jambo hili kama zambi hata kwa kusikiliza mambo <strong>ya</strong> “uzushi”<strong>ya</strong> namna hiyo kama<br />

iliyofundishwa na Waadventisti. Malaika waliagiza kuwa na ulinzi aminifu juu <strong>ya</strong> roho hizi,<br />

kwa maana nuru ingine ilipaswa kuangaza juu <strong>ya</strong>o kutoka kwa kiti cha Mungu.<br />

Wale waliokubali habari walingojea kuja kwa Mwokozi wao. Wakati ambao walitazamia<br />

kukutana naye ulikuwa karibu. Wakakaribisha saa hii kwa utulivu wa heshima. Hakuna<br />

aliyekuwa na maarifa hii anayeweza kusahau saa hizo za tamani za kungoja. Kwa maana juma<br />

chache mbele <strong>ya</strong> wakati ule, kazi <strong>ya</strong> kidunia kwa sehemu kubwa iliwekwa pembeni.<br />

Waaminifu wa kweli kwa uangalifu wakachunguza mioyo <strong>ya</strong>o kama kwamba katika saa<br />

chache kufunga macho <strong>ya</strong>o kwa maono <strong>ya</strong> kidunia. Hapo hapakuwa kushona “mavazi <strong>ya</strong><br />

kupanda nayo” (Tazama Nyongezo), lakini wote wakasikia haja <strong>ya</strong> ushuhuda wenyewe<br />

kwamba walikuwa wakijita<strong>ya</strong>risha kuonana na Mwokozi. Mavazi <strong>ya</strong>o meupe <strong>ya</strong>likuwa usafi<br />

wa roho--tabia zilizotakaswa na damu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong> Kristo. Hebu kwamba kungekuwa vivyo<br />

na watu wa Mungu na moyo wa namna moja wa kuchunguza, imani yenye juhudi.<br />

Mungu alitaka kuonyesha watu wake. Mkono wake ulifunika kosa katika kuhesabu<br />

n<strong>ya</strong>kati za unabii. Wakati wa kutazamia ule ukapita, na Kristo hakuonekana. Wale<br />

waliotazamia Mwokozi wao wakajua uchungu mkali. Lakini Mungu alikuwa akichunguza<br />

mioyo <strong>ya</strong> wale waliojidai kungoja kuonekana kwake. Wengi waliongozwa kwa hofu. Watu<br />

hawa wakatangaza kwamba hawakuamini kamwe kwamba Kristo atakuja. Walikuwa<br />

miongoni mwa wa kwanza kuchekelea huzuni <strong>ya</strong> waamini wa kweli.<br />

Lakini Yesu na jeshi lote la mbinguni walitazamia kwa upendo na huruma juu <strong>ya</strong><br />

waaminifu ijapo walikuwa wenye kukatishwa tamaa. Kama kifuniko kinachotenga dunia na<br />

vile vinavyoonekana kwa visivyoonekana kikiinuliwa, malaika wangaliweza kuonekana<br />

wakisogea karibu na roho hizi za uaminifu na kuzilinda kwa mishale <strong>ya</strong> Shetani.<br />

151

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!