12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mioto <strong>ya</strong> ukweli wa Mungu, ambayo ilikuwa karibu kuzimika juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong><br />

<strong>Kiprotestanti</strong>, ilipashwa kuwashwa kutoka kwa mwenge wa zamani uliotolewa na Wakristo<br />

wa Bohemia. Wengine miongoni mwao, wakapata kimbilio katika Saxe (Saxony), wakalinda<br />

imani <strong>ya</strong> zamani. Kutoka kwa Wakristo hawa nuru ikaja kwa Wesley.<br />

Yohana na Charles wakatumwa kwa ujumbe kuenda Amerika. Katika meli kulikuwa na<br />

kundi la waMoravians. Wakakutana na zoruba kali sana, na Yohana, akawa uso kwa uso na<br />

kifo, akajisikia kwamba hakuwa na hakikisho la amani na Mungu. Lakini Wajeremani<br />

wakaonyesha utulivu na kutumaini kwamba alikuwa mgeni. “Tangu zamani,” akasema,<br />

“nilichunguza umuhimu mkuu wa mwenendo (tabia) wao. ... Wakawa sasa na bahati <strong>ya</strong><br />

kujaribu kwamba walikuwa huru bila mafikara <strong>ya</strong> woga pia na ile <strong>ya</strong> kutokuwa na kiburi,<br />

hasira na kulipisha kisasi. Katikati <strong>ya</strong> zaburi kwa kazi <strong>ya</strong>o ilianza, bahari ikapasuka, na<br />

kupasua tanga kubwa kwa vipande vipande, ikafunika merikebu, na kumwanga kati kati <strong>ya</strong><br />

sakafu kana kwamba kilindi kikuu kimekwisha kutumeza. Kilio cha nguvu kikaanza<br />

miongoni mwa Waingereza. Wajeremani kwa utulivu wakaendelea kuimba. Nikauliza<br />

mmojawapo wao baadaye,`Hamkuwa na hofu? ‘ Akajibu Namshukuru Mungu, hapana.’<br />

Nikauliza, `Lakini wake wenu na watoto hawakuwa na hofu?’ Akajibu kwa upole, `Sivyo;<br />

wake wetu na watoto hawaogopi kufa.’”<br />

Moyo wa Wesley “Kwa Jinsi Isiyo <strong>ya</strong> Kawaida Watiwa Joto”<br />

Kwa kurudi kwake Uingereza, Wesley akafikia kwa kufahamu wazi wazi imani <strong>ya</strong> Biblia<br />

chini <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> mtu wa Moravia. Kwa mkutano wa chama cha Wamoravian katika<br />

Londoni maneno <strong>ya</strong>kasomwa kutoka kwa Luther. Namna Wesley alipokuwa akisikiliza,<br />

imani ikawashwa ndani <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong>ke. “Nilisikia moyo wangu kutiwa joto ngeni,” akasema.<br />

“Nilisikia kwamba nilimtumaini Kristo, Kristo pekee, kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu: na tumaini<br />

likatolewa kwangu, kwamba aliondoa mbali zambi zangu, hata zangu, na aliniokoa kutoka<br />

kwa sheria <strong>ya</strong> zambi na mauti.’‘<br />

Sasa aliona kwamba neema aliyojitahidi kupata kwa njia <strong>ya</strong> maombi na kufunga na<br />

kujinyima ilikuwa zawadi, “bila mali na bila bei.” Roho <strong>ya</strong>ke yote ikawaka na mapenzi <strong>ya</strong><br />

kutangaza po pote injili utukufu <strong>ya</strong> neema huru <strong>ya</strong> Mungu. “Nikatazama juu <strong>ya</strong> ulimwengu<br />

wote kama mtaa wangu,” akasema; “po pote ninapokuwa, ninazania kwamba, nina haki, na<br />

wajibu wangu wa lazima, kutangaza kwa wote wale wanaotamani kusikia, habari za furaha<br />

za wokovu.”<br />

Akaendelea na maisha <strong>ya</strong>ke halisi na <strong>ya</strong> kujinyima, si sasa kama msingi, bali matokeo <strong>ya</strong><br />

imani; si shina, bali tunda la utakatifu. Neema <strong>ya</strong> Mungu katika Kristo itaonekana katika utii.<br />

Maisha <strong>ya</strong> Wesley ilitolewa kuwa wakfu kwa kuhubiri kweli kubwa aliyo<strong>ya</strong>kubali--<br />

kuhesabiwa haki kwa njia <strong>ya</strong> imani katika damu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong> Kristo, na uwezo mp<strong>ya</strong> wa Roho<br />

Mtakatifu kwa moyo, kuendelea kuleta matunda katika maisha <strong>ya</strong>nayofanana kwa mfano wa<br />

Kristo.<br />

101

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!