12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sanduku ndani <strong>ya</strong> hema duniani lilikuwa na vipande mbili v<strong>ya</strong> mawe, ambapo sheria za<br />

Mungu ziliandikwa. Wakati hekalu la Mungu lilifunguliwa mbinguni, sanduku <strong>ya</strong> agano lake<br />

ilionekana. Ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu mno mbinguni, sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

inatunzwa--sheria iliyosemwa na Mungu na kuandikwa kwa kidole chake juu <strong>ya</strong> vipande<br />

mbili v<strong>ya</strong> mawe.<br />

Wale waliopata kufahamu maana <strong>ya</strong>ke waliona, zaidi kuliko mbele, nguvu za maneno <strong>ya</strong><br />

Mwokozi: “Hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka.”<br />

Matayo 5:18. Sheria <strong>ya</strong> Mungu, ambayo ni ufunuo wa mapenzi <strong>ya</strong>ke, andiko la tabia <strong>ya</strong>ke,<br />

inapaswa kudumu milele.<br />

Katika orodha <strong>ya</strong> Amri kumi kunakuwa amri <strong>ya</strong> Sabato. Roho <strong>ya</strong> Mungu ikaonyesha wale<br />

wanafunzi wa Neno lake lile kwamba walivunja kwa ujinga amri hii kwa kutojali siku <strong>ya</strong><br />

pumziko <strong>ya</strong> Muumba. Wakaanza kuchunguza sababu <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma.<br />

Hawakuweza kupata ushahidi wo wote kwamba amri <strong>ya</strong> ine iliondolewa mbali wala kwamba<br />

Sabato iligeuzwa. Wakatafuta kwa uaminifu kujua na kutenda mapenzi <strong>ya</strong> Mungu; sasa<br />

wakaonyesha uaminifu wao kwa Mungu kwa kushika Sabato <strong>ya</strong>ke takatifu.<br />

Nguvu mingi ilifanywa kwa kuangusha imani <strong>ya</strong> waamini wa Adventiste. Hakuna mtu<br />

aliweza kushindwa kuona kwamba ukubali ule wa kweli juu <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni<br />

unahusika na haki za sheria <strong>ya</strong> Mungu na Sabato <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine. Hapa kulikuwa na siri <strong>ya</strong><br />

upinzani uliokusudiwa juu <strong>ya</strong> maelezo wazi <strong>ya</strong> umoja wa Maandiko <strong>ya</strong>nayofunua huduma <strong>ya</strong><br />

Kristo ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni. Watu wakatafuta kufunga mlango ambao<br />

Mungu alifungua, na kufungua mlango ambao aliufunga. Lakini Kristo alifungua mlango wa<br />

huduma <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu. Amri <strong>ya</strong> ine ilikuwa ndani katika sheria<br />

iliyotunzwa pale.<br />

Wale waliokubali nuru juu <strong>ya</strong> upatanisho wa Kristo na sheria <strong>ya</strong> Mungu wakaona kwamba<br />

ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa kweli <strong>ya</strong> Ufunuo 14, ambayo ni onyo la mara tatu kwa kuta<strong>ya</strong>risha wakaaji wa<br />

dunia kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana mara <strong>ya</strong> pili. (Tazama mwisho wa kitabu, Nyongezo).<br />

Tangazo “Saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja “linatangaza kweli ambayo inapaswa kutangazwa<br />

hata upatanisho wa Mwokozi utakapoisha na atarudi kuchukua watu wake kwake mwenyewe.<br />

Hukumu ambayo ilianza katika mwaka 1844 inapaswa kuendelea hata kesi za wote<br />

zinapokwisha kukatwa, wote wahai na waliokufa; kwa sababu hiyo itaenea hata kwa<br />

kufungwa kwa rehema <strong>ya</strong> wanadamu.<br />

Ili watu waweze kujita<strong>ya</strong>risha kusimama katika hukumu, ujumbe unawaagiza kuogopa<br />

Mungu, na kumutukuza,” na kumwabudu yeye aliyefan<strong>ya</strong> mbingu, na dunia na bahari na<br />

chemchemi za maji.” Matokeo <strong>ya</strong> kukubali kwa ujumbe huu wa malaika watatu unatolewa:<br />

“Hapa ni uvumilivu wa watakatifu wanaoshika amri za Mungu, na imani <strong>ya</strong> Yesu.” Ufunuo<br />

14:7,12.<br />

178

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!