12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 41. Dunia katika Uharibifu<br />

Wakati sauti <strong>ya</strong> Mungu inapogeuza utumwa wa watu wake, pale panakuwa na muamko<br />

wa kutisha wa wale waliopoteza vyote katika vita kubwa <strong>ya</strong> maisha. Kupofushwa na<br />

madanganyo <strong>ya</strong> Shetani watajiri wakajisifu wenyewe kwa ukuu wao kwa wale wasiofanikiwa<br />

sana. Lakini hawakujali kulisha wenye njaa, kuvika wale waliokuwa unchi, kufan<strong>ya</strong> kwa haki,<br />

na kupenda rehema. Sasa wameondolewa vyote vilivyowafan<strong>ya</strong> kuwa wakubwa na<br />

wameachwa ukiwa (maskini). Wanatazama kwa hofu juu <strong>ya</strong> kuangamia kwa sanamu zao.<br />

Wameuzisha nafsi zao kwa ajili <strong>ya</strong> anasa <strong>ya</strong> dunia na hawakuwa watajiri kwa Mungu. Maisha<br />

<strong>ya</strong>o ni <strong>ya</strong> kushindwa, anasa zao zimegeuka kuwa uchungu. Faida <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o yote imepotea<br />

kwa wakati moja. Watajiri wanalilia kuangamia kwa nyumba zao kubwa, kutawanyika kwa<br />

zahabu <strong>ya</strong>o na feza, na hofu <strong>ya</strong> kwamba wao wenyewe wanapashwa kuangamia pamoja na<br />

sanamu zao. Waovu wanaomboleza <strong>ya</strong> kwamba matokeo ni vile inavyokuwa, lakini hawatubu<br />

kwa maovu <strong>ya</strong>o.<br />

Mhubiri aliyefan<strong>ya</strong> ukweli kwa kafara makusudi <strong>ya</strong> kupata upendeleo wa watu sasa<br />

anatambua mvuto wa mafundisho <strong>ya</strong>ke. Kila mustari ulioandikwa, kila neno lililotamkwa<br />

lililoongoza watu kudumu katika kimbilio la uwongo limetawan<strong>ya</strong> mbegu: na sasa anatazama<br />

mavuno. Bwana anasema: “Ole wao wachungaji, wanaoharibu na kutawan<strong>ya</strong> kondoo za<br />

malisho <strong>ya</strong>ngu! ... Angalieni, nitaleta juu yenu uovu wa matendo yenu”. “kwa uwongo<br />

mumehuzunisha moyo wao walio haki, nisiowahuzunisha; nakutia nguvu mikono <strong>ya</strong> mwovu,<br />

hata asigeuke toka njia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uovu, na kuponyeshwa hai”. Yeremia 23:1,2; Ezekieli 13:22.<br />

Wahubiri na watu wanaona <strong>ya</strong> kuwa wameasi juu <strong>ya</strong> Muumba wa sheria yote <strong>ya</strong> haki.<br />

Kuweka pembeni maagizo <strong>ya</strong> Mungu kulitoa mwinuko kwa maelfu <strong>ya</strong> nguvu za uovu, hata<br />

dunia ikawa mfereji moja mkubwa wa zambi. Hakuna lugha inayoweza kueleza tamaa <strong>ya</strong><br />

wasiowaaminifu wanapotazama wale walivyopoteza milele--uzima wa milele.<br />

Watu wanashitakiana wao kwa wao kwa ajili <strong>ya</strong> kuwaongoza kwa uharibifu, lakini wote<br />

wanaunganika kwa kukusan<strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uchungu mkubwa juu <strong>ya</strong> wachungaji<br />

wasiokuwa waaminifu waliotabiri “maneno <strong>ya</strong> laini” (Isa<strong>ya</strong> 30:10), walioongoza wasikilizaji<br />

wao kufan<strong>ya</strong> ukiwa sheria <strong>ya</strong> Mungu na kutesa wale wangeishika kama takatifu.<br />

“Tumepotea”! wameomboleza, “na ninyi ndio munaokuwa sababu yenyewe”. Mikono<br />

iliyowatawaza zamani kwa heshima itan<strong>ya</strong>nyuliwa kwa ajili <strong>ya</strong> uharibifu wao. Po pote<br />

kunakuwa vita na umwangaji wa damu.<br />

Mwana wa Mungu na wajumbe wa mbinguni wamekuwa katika vita pamoja na muovu,<br />

kwa kuon<strong>ya</strong>, kuangazia, na kuokoa wana wa watu. Sasa wote wamefan<strong>ya</strong> mipango<br />

(makusudi) <strong>ya</strong>o; waovu wameungana kabisa na Shetani katika vita kupigana na Mungu.<br />

Mabishano si <strong>ya</strong> Shetani peke <strong>ya</strong>ke, lakini pamoja na watu. “Bwana ana mashindano na<br />

mataifa”. Yeremia 25:31.<br />

Malaika wa Mauti<br />

267

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!