12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kukaimarishwa juu <strong>ya</strong>ke, ambako matendo yote <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong>lishindwa kumupa uhuru.<br />

Akasikiliza maneno <strong>ya</strong> Lefévre: “Wokovu ni kwa neema.” “Ni msalaba wa Kristo tu<br />

unaofungua milango <strong>ya</strong> mbinguni, na kufunga milango <strong>ya</strong> kuzimu.”<br />

Kwa kutubu kama kule kwa Paulo, Farel akageuka kutoka kwa utumwa wa asili hata kwa<br />

uhuru wa wana wa Mungu. “Baada <strong>ya</strong> moyo wa uuaji wa mbwa mwitu mkali,” akarudi<br />

akasema, “kwa kim<strong>ya</strong> kama mwana kondoo mwema na mpole, moyo wake wote<br />

umeondolewa kwa Papa, na ukatolewa kwa Yesu Kristo.”<br />

Wakati Lefévre alipokuwa akitawan<strong>ya</strong> nuru miongoni mwa wanafunzi, Farel akaendelea<br />

kutangaza kweli wazi wazi. Mkuu mmoja wa kanisa, askofu wa Meaux, akajiunga mara kwao.<br />

Waalimu wengine wakaungana katika kutangaza injili, na ikavuta wafuasi kutoka kwa makao<br />

<strong>ya</strong> wafundi na wakulima hata kwa jumba la mfalme. Dada wa Francis I akakubali imani <strong>ya</strong><br />

Matengenezo. Kwa matumaini bora <strong>ya</strong> Watengenezaji walitazamia wakati ambapo Ufransa<br />

ulipaswa kuvutwa kwa injili.<br />

Agano Jip<strong>ya</strong> la Kifransa<br />

Lakini matumaini <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>kutimia. Majaribu na mateso ikangoja wanafunzi wa Kristo.<br />

Walakini, wakati wa amani ukafika, ambao wangeweza kupata nguvu kwa kukutana na tufani,<br />

na matengenezo <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> upesi. Lefévre akaanza kutafsiri wa Agano Jip<strong>ya</strong>;<br />

na kwa wakati uleule ambapo Biblia <strong>ya</strong> Jeremani <strong>ya</strong> Luther ilipomalizika kutoka kwa mtambo<br />

wa kupigia chapa katika Wittenberg, Agano Jip<strong>ya</strong> la Kinfransa likachapwa huko Meaux. Kwa<br />

upesi wakulima wa Meaux wakapata Maandiko matakatifu. Watu wa kazi katika mashamba,<br />

wafundi katika kiwanda cha kufanyia kazi, wakafurahishwa na kazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kila siku kwa<br />

kuzungumza habari <strong>ya</strong> damani <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> Biblia. Ijapo walikuwa watu wa cheo cha chini<br />

kabisa, bila elimu na kazi ngumu <strong>ya</strong> ukulima, matengenezo, uwezo unaogeuza, wa neema <strong>ya</strong><br />

Mungu ukaonekana katika maisha <strong>ya</strong>o.<br />

Nuru iliyoangaza huko Meaux ikatoa n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong>ke mbali. Kila siku hesabu <strong>ya</strong> waliogeuka<br />

ilikuwa ikiongezeka. Hasira kali <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> kanisa ikakomeshwa kwa mda kwa kizuio cha<br />

mfalme, lakini wafuasi wa Papa wakashinda mwishowe. Mti wakuchoma wa pinga dini<br />

kukawashwa. Wengi walioshuhudia juu <strong>ya</strong> ukweli wakawa katika miako <strong>ya</strong> moto.<br />

Ndani <strong>ya</strong> vyumba vikubwa v<strong>ya</strong> majumba na majumba <strong>ya</strong> kifalme, kulikuwa roho za<br />

kifalme ambamo ukweli ulikuwa wa damani kuliko utajiri ao cheo ao hata maisha. Louis de<br />

Berquin alikuwa mzaliwa wa jamaa <strong>ya</strong> cheo kikubwa, aliyejitoa kwa majifunzo, mwenye<br />

kuadibishwa na tabia isiyolaumiwa. “Akakamilisha kila namna <strong>ya</strong> wema kwa kushika<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther katika machukio makuu <strong>ya</strong> kipekee.” Lakini, kwa bahati njema<br />

akaongozwa kwa Biblia, akashangazwa kupata pale “si mafundisho <strong>ya</strong> Roma, bali<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther.” Akajitoa mwenyewe kwa kazi <strong>ya</strong> injili.<br />

Mamlaka <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong> Ufransa ikamtia gerezani kama mpinga imani <strong>ya</strong> dini, lakini<br />

akafunguliwa na mfalme. Kwa miaka nyingi Francis alikuwa akisitasita kati <strong>ya</strong> Roma na<br />

83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!