12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 39. Wakati wa Taabu<br />

“Kwa wakati ule Mikaeli atasimama, Mfalme Mkubwa anayesimama kwa ajili <strong>ya</strong> wana<br />

wa watu wako; na kutakuwa wakati wa taabu, kama usivyokuwa mbele tangu wakati taifa<br />

lilipokuwa hata wakati ule: na kwa wakati ule watu wako wataponyeshwa, kila mtu<br />

atakayeonekana ameandikwa katika kitabu.” Danieli 12:1.<br />

Wakati ujumbe wa malaika wa tatu unamalizika, watu wa Mungu watakuwa wametimiza<br />

kazi <strong>ya</strong>o. Wamepokea, “mvua <strong>ya</strong> mwisho” na wanajita<strong>ya</strong>risha kwa saa <strong>ya</strong> kujaribiwa<br />

inayokuwa mbele <strong>ya</strong>o. Jaribu la mwisho limekwisha kuletwa duniani, na wote<br />

waliohakikishwa kuwa watiifu (waaminifu) kwa amri za Mungu wamepokea “muhuri wa<br />

Mungu aliye hai.” Ndipo Yesu anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu kule juu<br />

na kusema kwa sauti kuu, “Imefanyika”.<br />

“Yeye aliye muzalimu azidi kuwa muzalimu; na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na<br />

mwenye haki azidi kufan<strong>ya</strong> haki; na mtakaifu azidi kutakaswa”: Ufunuo 22:11. Kristo<br />

amefan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake na amefutia mbali zambi zao. “Na ufalme na<br />

mamlaka, na ukubwa wa falme chini <strong>ya</strong> mbingu” (Danieli 7:27) ni karibu kutolewa kwa wariti<br />

wa wokovu, na Yesu kutawala kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.<br />

Wakati anapoacha Pahali patakatifu, giza inafunika wakaaji wa dunia. Wenye haki<br />

wanapaswa kuishi machoni pa Mungu Mtakatifu pasipo mwombezi. Kizuio juu <strong>ya</strong> waovu<br />

kimeondolewa, na Shetani anakuwa na mamlaka kamili juu <strong>ya</strong> wasiotubu. Kwa mwisho Roho<br />

<strong>ya</strong> Mungu imeondolewa. Ndipo Shetani anatumbukiza wakaaji wa dunia katika taabu kubwa<br />

<strong>ya</strong> mwisho. Malaika wa Mungu wanaacha kushika kwa kuzuia pepo kali <strong>ya</strong> tamaa <strong>ya</strong><br />

wanadamu. Ulimwengu wote utahusika katika maangamizo <strong>ya</strong> kuogopesha zaidi kuliko <strong>ya</strong>le<br />

ambayo <strong>ya</strong>lifika juu <strong>ya</strong> Yerusalema <strong>ya</strong> zamani. Hapo kunakuwa majeshi sasa ta<strong>ya</strong>ri, zinangoja<br />

tu ruhusa <strong>ya</strong> Mungu, kueneza ukiwa po pote.<br />

Wale wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu watazaniwa kuwa sababu <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong> kuogopesha<br />

na umwangaji wa damu ambavyo vinajaza dunia kwa taabu. Uwezo uliofatana na onyo la<br />

mwisho umekasirisha waovu, na Shetani atachochea roho <strong>ya</strong> uchuki na mateso juu <strong>ya</strong> wote<br />

waliopokea ujumbe.<br />

Wakati kuwako kwa Mungu kuliondolewa kutoka kwa taifa la Wayuda, wakuhani na watu<br />

waliendele<strong>ya</strong> kujizania wenyewe kuwa wateule wa Mungu. Utumishi katika hekalu ilikuwa<br />

ikiendelea; siku kwa siku baraka <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa ikitakiwa juu <strong>ya</strong> watu wenye kosa <strong>ya</strong><br />

damu <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu. Vivyo hivyo wakati hukumu isiyobadilika <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />

inapokwisha kutangazwa na mwisho wa ulimwengu ulikuwa wenye kuwekwa milele, wakaaji<br />

wa dunia hawataitambua. Kawaida za dini zitakuwa zikiendeleshwa na watu wale ambao<br />

Roho <strong>ya</strong> Mungu imeondolewa; juhudi <strong>ya</strong> shetani kwa kutimiza nia zake mba<strong>ya</strong> atachukua<br />

mfano wa juhudi <strong>ya</strong> Mungu<br />

251

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!