12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Katika matengenezo adui zake wakashitakiwa maovu <strong>ya</strong> ushupavu juu <strong>ya</strong> wale waliokuwa<br />

wakiomba sana kukataa ushupavu. Mwendo wa namna ileile ulikuwa ukifuatwa na wapinzani<br />

wa kazi <strong>ya</strong> kiadventiste. Hawakutoshelewa na kuzidisha makosa <strong>ya</strong> ushupavu, wakaeneza<br />

taarifa ambazo hazikuwa hata na uhusiano kidogo wa kweli. Amani <strong>ya</strong>o ilikuwa ikisumbuliwa<br />

na kutangazwa kwa Kristo kuwa mlangoni. Waliogopa ingeweza kuwa kweli, huku<br />

wakatumaini kwamba haikuwako. Hii ilikuwa siri <strong>ya</strong> vita <strong>ya</strong>o kwa kupinga Waadventiste.<br />

Mahubiri <strong>ya</strong> ujumbe wa malaika wa kwanza <strong>ya</strong>lielekea mara kukomesha ushupavu. Wale<br />

walioshirikiana kwa kazi hizi kubwa walikuwa katika umoja; mioyo <strong>ya</strong>o ilijazwa na upendo<br />

wa mtu kwa mwenzake na kwa ajili <strong>ya</strong> Yesu, ambaye walimtazamia kumwona upesi. Imani<br />

moja, tumaini la baraka moja, wakahakikisha ngabo juu <strong>ya</strong> mashambulio <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Kosa Linasahihishwa<br />

“Basi wakati bwana arusi alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini saa<br />

sita <strong>ya</strong> usiku kulikuwa kelele: Tazama bwana arusi anakuja! tokeni kukutana naye.” Katika<br />

wakati wa jua kali wa mwaka 1844 ujumbe ukatangazwa katika maneno <strong>ya</strong> Maandiko kabisa.<br />

Kile kilichoongoza kwa maendeleo ha<strong>ya</strong> kilikuwa ni uvumbuzi kwamba amri <strong>ya</strong> Artasasta<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> kurudishwa kwa Yerusalema, ambayo ilisaidia kujua mwanzo wa hesabu <strong>ya</strong> siku<br />

2300, ikafanyika katika masika <strong>ya</strong> mwaka wa 457 B.C., na si kwa mwanzo wa mwaka, kama<br />

ilivyoaminiwa. Hesabu kutoka masika <strong>ya</strong> mwaka 457, miaka 2300 ikamalizika wakati wa<br />

masika <strong>ya</strong> mwaka 1844. Mifano <strong>ya</strong> Agano la Kale pia ilielekeza kwa wakati wa masika kama<br />

wakati ambao “kutakaswa kwa mahali patakatifu” kulipaswa kufanyika.<br />

Kuchinjwa kwa Kondoo wa Pasaka kulikuwa ni kivuli cha mauti <strong>ya</strong> Kristo, mfano<br />

ulitimilika, si kwa tukio tu, bali na kwa wakati. Kwa siku <strong>ya</strong> kumi na ine <strong>ya</strong> mwezi wa kwanza<br />

wa Wayuda, siku ile kabisa na mwezi ambapo kwa karne nyingi kondoo wa Pasaka alikuwa<br />

akichinjwa, Kristo akaanzisha karamu hiyo ambayo ilikuwa kwa kukumbuka mauti <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe “Mwana-kondoo wa Mungu.” Kwa usiku uleule akakamatwa kwa kusulibiwa na<br />

kuuawa.<br />

UNABII WA 2300 SIKU / MIAKA<br />

161

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!