12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kazi <strong>ya</strong> dunia , kwa kawaida kama mfan<strong>ya</strong> biashara ao <strong>ya</strong> mchuuzi. “Walichukua mavazi <strong>ya</strong><br />

hariri, vitu vilivyofanyizwa kwa zahabu, na vitu vingine, ... na walikaribishwa vizuri kama<br />

wafan<strong>ya</strong> biashara mahali wangezarauliwa kama wajumbe (missionnaires)” Walichukua kwa<br />

siri nakala za Biblia, nzima ao kipande. Mara kwa mara shauku <strong>ya</strong> kusoma Neno la Mungu<br />

ilipoamushwa, sehemu fulani za Biblia ziliachwa kwa wale waliozihitaji.<br />

Kwa miguu wazi na mavazi machafu na safari <strong>ya</strong> udongo mzito, wajumbe hawa walipita<br />

katika miji mikubwa na kuingia kwa inchi za mbali. Makanisa <strong>ya</strong>kasimamishwa kwa haraka<br />

njiani walimopita, na damu <strong>ya</strong> wafia dini ikashuhudia ukweli. Kwa uficho na ukim<strong>ya</strong>, Neno<br />

la Mungu likitukana na kupokelewa kwa furaha ndani <strong>ya</strong> nyumba na mioyoni mwa watu.<br />

Wavaudois waliamini kwamba mwisho wa vitu vyote haukuwa mbali sana. Walipokuwa<br />

wakijifunza Biblia walikuwa wanatia moyo kwa kazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kujulusha wengine juu <strong>ya</strong> ukweli<br />

Walipata faraja, tumaini, na amani kwa kumwamini Yesu. Namna nuru ilifurahisha mioyo<br />

<strong>ya</strong>o, walitamani sana kutawan<strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>li zake kwa wale waliokuwa katika giza la makosa la<br />

kipapa.<br />

Chini <strong>ya</strong> uongozi wa Papa na mapadri, wengi walifundishwa kutumainia kazi ao matendo<br />

<strong>ya</strong>o mazuri kwa kuokolewa. Walikuwa wakijiangalia wao wenyewe, akili zao zilikuwa<br />

zikiishi katika hali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> zambi, kutesa moyo na mwili, lakini bila kurijika. Maelfu<br />

walipoteza maisha <strong>ya</strong>o katika viumba v<strong>ya</strong> watawa (moines). Kwa mafungo <strong>ya</strong> mara kwa mara<br />

na kutesa mwili, kukesha usiku wa manane, kwa kusujudia mahali pa baridi, mawe <strong>ya</strong> maji<br />

maji, kwa safari ndefu--za kwenda kuzuru Pahali patakatifu--kwa kuogopa <strong>ya</strong> hasira <strong>ya</strong> kisasi<br />

cha Mungu--wengi waliendelea kuteseka hata kuchoka kukadumisha. Bila n<strong>ya</strong>li moja <strong>ya</strong><br />

tumaini wakazama ndani <strong>ya</strong> kaburi.<br />

Wenye Zambi Walimushota Kristo<br />

Wavaudois walitamani sana kufungulia mioyo hizi zilizoumia na njaa <strong>ya</strong> habari za amani<br />

katika ahadi za Mungu na kuwaonyesha kwa Kristo kama tumaini lao la pekee la wokovu.<br />

Mafundisho kwamba matendo mema <strong>ya</strong>naweza kuwa pahali pa zambi <strong>ya</strong>liyotambuliwa kwa<br />

kuwa msingi wake niwa uongo. Tabia nzuri za Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka zinakuwa,<br />

ndiyo msingi wa imani <strong>ya</strong> kikristo. Hali <strong>ya</strong> matumaini <strong>ya</strong> moyo kwa Kristo inapaswa kuwa<br />

karibu sana kama vile kiungo kwa mwili ao cha tawi kwa mzabibu.<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> wapapa na wapadri <strong>ya</strong>liongoza watu kutazama Mungu na hata Kristo kama<br />

wakali na wa kugombeza, kwa hiyo bila huruma kwa mtu kwamba uombezi wa wapadri na<br />

watakatifu ulipaswa kuombwa. Wale ambao akili zao zimeangaziwa walitamani sana<br />

kuondoa vizuizi ambavyo Shetani amevijaza, ili watu waweze kuja mara moja kwa Mungu,<br />

kuungama zambi zao, na kupokea msamaha na amani.<br />

Kushambulia Ufalme wa Shetani<br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!