12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>kamushangaza --uovu miongoni mwa waongozi, ubishi usiofaa kwa maaskofu.<br />

Akachukizwa na (unajisi) wao hata wakati wa misa. Akakutana upotevu, usharati. “Hakuna<br />

mtu anaweza kuwazia,” akaandika, “zambi gani na matendo maovu sana <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>kitendeka<br />

katika Roma. ... Watu huzoea kusema, ` Kama kunakuwa na jehanumu, Roma inajengwa juu<br />

<strong>ya</strong>ke.’”<br />

Ukweli juu <strong>ya</strong> ngazi <strong>ya</strong> Pilato<br />

Kuachiwa kuliahidiwa na Papa kwa wote watakaopanda juu <strong>ya</strong> magoti <strong>ya</strong>o “Ngazi <strong>ya</strong><br />

Pilato,” waliozania kuwa ilichukuliwa kwa mwujiza toka Yerusalema hata Roma. Luther siku<br />

moja alikuwa akipanda ngazi hizi wakati sauti kama radi ilionekana kusema, “Mwenye haki<br />

ataishi kwa imani.” Waroma 1:17. Akaruka kwa upesi kwa magoti <strong>ya</strong>ke kwa ha<strong>ya</strong> na hofu<br />

kuu. Tangu wakati ule akaona kwa wazi kuliko mbele neno la uongo la kutumaini kazi za<br />

binadamu kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu. Akageuza uso wake kwa Roma. Tangu wakati ule mutengano<br />

ukakomaa kuwa hata akakata uhusiano wote na kanisa la Roma.<br />

Baada <strong>ya</strong> kurudi kwake kutoka Roma, Luther akapokea cheo cha mwalimu (docteur) wa<br />

mambo <strong>ya</strong> Mungu. Sasa alikuwa na uhuru wa kujitoa wakfu mwenyewe kwa Maandiko<br />

ambayo ali<strong>ya</strong>penda. Akaweka naziri (<strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> Mungu) kuhubiri kwa uaminifu Neno la<br />

Mungu, si mafundisho <strong>ya</strong> waPapa. Hakuwa tena mtawa tu, bali mjumbe aliyeruhusiwa wa<br />

Biblia, aliyeitwa kama mchungaji (pasteur) kwa kulisha kundi la Mungu lillokuwa na njaa na<br />

kiu <strong>ya</strong> ukweli. Akatangaza kwa bidii kwamba Wakristo hawapaswe kupokea mafundisho<br />

mengine isipokuwa <strong>ya</strong>le ambayo <strong>ya</strong>nayojengwa juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu.<br />

Makundi yenye bidii <strong>ya</strong>kapenda sana maneno <strong>ya</strong>ke. Habari <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong> upendo wa<br />

Mwokozi, hakikisho la msamaha na amani katika damu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke ikafurahisha mioyo<br />

<strong>ya</strong>o. Huko Wittenberg nuru iliwashwa, ambayo n<strong>ya</strong>li <strong>ya</strong>ke iongezeke kungaa zaidi kwa<br />

mwisho wa wakati.<br />

Lakini kati <strong>ya</strong> ukweli na uongo kunakuwa vita. Mwokozi wetu Mwenyewe alitangaza:<br />

“Musifikiri <strong>ya</strong> kama nimekuja kuleta salama duniani, sikuja kuleta salama lakini upanga.”<br />

Matayo 10:34. Akasema Luther, miaka michache baada <strong>ya</strong> kufunguliwa kwa Matengenezo:<br />

“Mungu ... ananisukuma mbele ... nataka kuishi katika utulivu; lakini nimetupwa katikati <strong>ya</strong><br />

makelele na mapinduzi makuu.”<br />

Huruma za kuuzisha<br />

Kanisa la Roma lilifan<strong>ya</strong> Biashara <strong>ya</strong> Neema <strong>ya</strong> Mungu. Chini <strong>ya</strong> maombi <strong>ya</strong> kuongeza<br />

mali kwa ajili <strong>ya</strong> kujenga jengo la Petro mtakatifu kule Roma, huruma kwa ajili <strong>ya</strong> zambi<br />

zilizotolewa kwa kuuzishwa kwa ruhusa <strong>ya</strong> Papa. Kwa bei <strong>ya</strong> uovu hekalu lilipaswa kujengwa<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> Mungu. Ilikuwa ni jambo hili ambalo liliamusha adui mkubwa sana wa<br />

kanisa la Roma na kufikia kwa vita ambayo ilitetemesha kiti cha Papa na mataji matatu juu<br />

<strong>ya</strong> kichwa cha askofu huyu.<br />

48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!