12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ni wajibu wa kwanza na <strong>ya</strong> juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa<br />

Maandiko mambo inayokuwa <strong>ya</strong> kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo<br />

kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu<br />

sisi wenyewe mbele <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha <strong>ya</strong> kama Maandiko<br />

<strong>ya</strong>nakuwa na siri, maana <strong>ya</strong> kiroho si <strong>ya</strong> kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa<br />

ni waalimu wa uwongo. Lugha <strong>ya</strong> Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana <strong>ya</strong>ke zahiri, ila<br />

tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa,<br />

kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu <strong>ya</strong> maelfu<br />

wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima<br />

wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la<br />

Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi<br />

kama kwa umoja wa kusudi, tamaa <strong>ya</strong> juhudi baada <strong>ya</strong> haki.<br />

Matokeo <strong>ya</strong> Zarau <strong>ya</strong> Maombi na Kujifunza Biblia<br />

Biblia haipashwi kujifunzwa pasipo maombi. Roho Mtakatifu peke <strong>ya</strong>ke anayetuwezesha<br />

kuona umuhimu wa vitu rahisi kufahamiwa, ao kutuzuia kupotoa mambo magumu <strong>ya</strong> kweli.<br />

Malaika wa mbinguni wanata<strong>ya</strong>risha moyo kufahamu Neno la Mungu. Tutapendezwa kwa<br />

uzuri wake, kugombezwa kwa maonyo <strong>ya</strong>ke na kutiwa nguvu na ahadi zake. Mara kwa mara<br />

majaribu huonekana kuwa na nguvu nyingi sana kwa sababu yule aliyejaribiwa hawezi mara<br />

hiyo kukumbuka ahadi za Mungu na kukutana na Shetani anayekuwa na silaha za Maandiko.<br />

Lakini malaika wanazunguka wale wanaotaka kufundishwa, na wataleta kwa ukumbusho wao<br />

ukweli unayohitajiwa.<br />

“Yeye atawafundisha ninyi vitu vyote, na kuwakumbusha ninyi vitu vyote niliyowaambia<br />

ninyi”. Yoane 14:26. Lakini mafundusho <strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong>napashwa kwanza kuwekwa katika akili<br />

ili Roho <strong>ya</strong> Mungu a<strong>ya</strong>lete katika ukumbusho wetu katika wakati wa hatari.<br />

Ajali <strong>ya</strong> makutano mengi sana inakuwa karibu kukusudiwa. Kila mshiriki wa Kristo<br />

inampasa kudai kwa bidii: “Bwana unataka nifanye nini”? Matendo 9:6. Inatupasa sasa<br />

kutafuta maarifa <strong>ya</strong> ndani na <strong>ya</strong> nguvu katika vitu v<strong>ya</strong> Mungu. Hatuna na wakati kwa<br />

kupoteza. Tunakuwa kwa udongo wa kupendeza wa Shetani. Zamu wa Mungu usilale!<br />

Wengi hushangilia wao wenyewe kwa matendo maba<strong>ya</strong> ambayo wasiyo<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>. Haitoshi<br />

<strong>ya</strong> kama wao ni miti katika bustani <strong>ya</strong> Mungu. Inawapasa kuzaa matunda. Katika vitabu v<strong>ya</strong><br />

mbinguni wanaandikwa kama walimaji wa udongo. Kwani kwa wale waliozarau rehema <strong>ya</strong><br />

Mungu na wakatumia viba<strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong>ke, moyo na upendo wa uvumilivu ungali ukitetea.<br />

Wakati wa mvua hakuna tofauti <strong>ya</strong> kuonekana kati <strong>ya</strong> miti na miti ingine; lakini wakati<br />

wa kipwa na upepo na majira <strong>ya</strong> baridi inapofika, miti isiyokauka inadumu imara wakati miti<br />

ingine inapo ponoa majani <strong>ya</strong>o. Acha upinzani uamke, acha kutovumilia kutikisika tena, acha<br />

mateso iwashwe, na mapenzi <strong>ya</strong>siyo na bidii na <strong>ya</strong> unafiki ikubali imani; lakini Mkristo wa<br />

244

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!