12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zao kwa kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke. Hawatalegeza wala kuchafua sadaka wanayotoa kwa Baba<br />

wao wa mbinguni kwa anasa <strong>ya</strong> tamaa wala ulafi.<br />

Furaha yote <strong>ya</strong> zambi inaelekea kuzoofisha na kuua fahamu za akili na za kiroho; Neno<br />

wala Roho <strong>ya</strong> Mungu inaweza kufan<strong>ya</strong> mguso mdogo kwa moyo. “Tujisafishe wenyewe kwa<br />

uchafu wote wa mwili na wa roho, tukitimiza utakatifu katika woga wa Mungu.” 2 Wakorinto<br />

7:1.<br />

Ni wangapi wanaojitangaza kuwa Wakristo wanaoharibu sura <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kimungu kwa ulafi,<br />

kwa kunywa mvinyo, kwa anasa zilizokatazwa. Na kanisa vivyo hivyo hushawishi uovu, kwa<br />

kujaza tena mali <strong>ya</strong>ke ambayo mapendo kwa Kristo ni zaifu sana kutoa. Kama Kristo<br />

angeingia kwa makanisa <strong>ya</strong> leo na kutazama karamu iliyofanywa pale kwa jina la dini, je,<br />

hangalifukuza wale wakufuru, kama alivyofukuzia mbali wabadili feza kwa hekalu?<br />

“Hamujui <strong>ya</strong> kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, muliyepewa<br />

na Mungu? Na ninyi si mali yenu wenyewe; kwa sababu mulinunuliwa kwa bei; basi tukuzeni<br />

Mungu katika mwili wenu na katika roho yenu, maana ni <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Wakorinto 6:19,20.<br />

Yeye ambaye mwili wake ni hekalu la Roho Mtakatifu hatafanywa mtumwa wa desturi<br />

mba<strong>ya</strong>. Nguvu zake ni za Kristo. Mali <strong>ya</strong>ke ni <strong>ya</strong> Bwana. Namna gani angetapan<strong>ya</strong> hazina<br />

uliyo gabiziwa?<br />

Wanaojitangaza kuwa Wakristo kila mwaka wanatumia feza nyingi kwa anasa mba<strong>ya</strong>.<br />

Mungu wanamuiba kwa zaka na sadaka, wanapoteketeza kwa mazabahu <strong>ya</strong> tamaa mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />

kuharibu zaidi kuliko wanavyotoa kwa kusaidia maskini ao kusaidia maendeleo <strong>ya</strong> habari<br />

njema. Kama wote wanaoshuhudia Kristo wangetakaswa kwa kweli, mali <strong>ya</strong>o, badala <strong>ya</strong><br />

kuitumia kwa anasa za bure na zenye hasara, <strong>ya</strong>ngerudishwa katika hazina <strong>ya</strong> Bwana.<br />

Wakristo wangetoa mufano wa kiasi na kujitoa kafara. Ndipo wangekuwa nuru <strong>ya</strong><br />

ulimwengu.<br />

“Tamaa <strong>ya</strong> mwili, na tamaa <strong>ya</strong> macho, na kiburi cha maisha” (1 Yoane 2:16) zinatawala<br />

wingi wa watu. Lakini wafuasi wa Kristo wanakuwa na mwito takatifu. “Tokeni katikati <strong>ya</strong>o,<br />

mukatengwa nao, Bwana anasema, wala musiguse kitu kisicho safi.” Kwa wale wanaokubali<br />

pamoja na mapatano, ahadi za Mungu ni “Nitakuwa baba kwenu, nanyi mutakuwa kwangu<br />

wana na binti, Bwana Mwenyezi anasema.” 2 Wakorinto 6:17,18.<br />

Kila hatua <strong>ya</strong> imani na utii inaleta nafsi kwa uhusiano wa karibu sana na Nuru <strong>ya</strong><br />

Ulimwengu. Mwangaza safi wa Jua la Haki unaangazia juu <strong>ya</strong> watumishi wa Mungu, na<br />

wanapaswa kurudisha mishale <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong>ke. Nyota zinatwambia kwamba hapo kuna nuru<br />

katika mbingu na kwa utukufu wake zinangaa; kwa hivi Wakristo wanaonyesha kwamba hapo<br />

kuna Mungu kwa kiti cha enzi ambaye tabia <strong>ya</strong>ke ni bora <strong>ya</strong> sifa na <strong>ya</strong> kuiga. Utakatifu wa<br />

tabia <strong>ya</strong>ke utaonyeshwa katika ushuhuda wake.<br />

Katika sifa njema za Kristo tunakuwa na ruhusa <strong>ya</strong> kukaribia kwa kiti cha Mwenye uwezo<br />

usio na mwisho (Mungu). “Yeye asiyeachilia Mwana wake, lakini alimutoa kwa ajili yetu<br />

194

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!