12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Roma ikaharakisha kuwasha vitisho v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> wivu. Katika mwaka 1525, Papa akasema<br />

kwa watawala wa Ufransa: “Huyu wazimu shetani (Dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>) hatatoshelewa<br />

kuchafua dini na kuiangamiza, bali mamlaka zote, cheo kikubwa, sheria, amri, na hata<br />

madaraja tena.” Tangazo la Papa likaon<strong>ya</strong> mfalme: “Waprotestanti watapindua amri yote <strong>ya</strong><br />

serkali na <strong>ya</strong> dini pia. ... Kiti cha mfalme kinakuwa hatarini kama vile mazabahu.” Roma<br />

ikafaulu kupanga Ufransa kwa kupinga Matengenezo.<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> Biblia <strong>ya</strong>ngeimarisha katika mioyo <strong>ya</strong> watu kanuni za haki, kiasi, na kweli,<br />

vinavyokuwa jiwe la pembeni kwa usitawi wa taifa. “Haki inainua taifa.” Maana “Kiti cha<br />

ufalme kinasimamishwa kwa haki.” Mezali 14:34; 16:12. Tazama Isa<strong>ya</strong> 32:17. Yeye anayetii<br />

sheria <strong>ya</strong> Mungu atazidi kwa kweli kuheshimu na kutii amri za inchi. Ufransa ulikataza Biblia.<br />

Karne kwa karne watu wa haki, wa ukamilifu wa elimu na matendo mema, waliokuwa na<br />

imani kwa kuteseka kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, wakaenda kwa taabu kama watumwa katika jahazi,<br />

wakaangamizwa kwa kigingi (tita), ao kuoza ndani <strong>ya</strong> pango za gereza. Maelfu wakapata<br />

usalama katika kukimbia kwa miaka 250 baada <strong>ya</strong> kufunguliwa kwa Matengenezo.<br />

“Labda hapakuwa na kizazi cha Ufransa, kwa mda wa wakati ule mrefu ambao<br />

hawakushuhudia wanafunzi wa injili kukimbia mbele <strong>ya</strong> mauaji kali <strong>ya</strong> wazimu <strong>ya</strong> watesi<br />

wao, na kuchukua akili <strong>ya</strong>o pamoja nao, vitu v<strong>ya</strong> ufundi, utendaji, na roho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> utaratibu,<br />

kwa kutangulia wakapita, kwa kuta<strong>ya</strong>risha inchi ziiizowapatia kimbilio. ... Kama hawa wote<br />

sasa waliofukuza wangalirudi Ufransa, ingalikuwa inchi <strong>ya</strong> namna gani ... kubwa, <strong>ya</strong> usitawi,<br />

na <strong>ya</strong> furaha--mfano kwa mataifa--ingalikuwa! Lakini bidii isiyo <strong>ya</strong> akili <strong>ya</strong> upofu na kizazi<br />

kisichokuwa na huruma kikafukuza kwa inchi <strong>ya</strong>ke kila mwalimu wa nguvu, kila shujaa wa<br />

roho <strong>ya</strong> utaratibu, kila mtetezi mwaminifu wa kiti cha mfalme. ... Mwishowe uharibifu wa<br />

taifa ukatimilika.”<br />

Matokeo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa Mapinduzi pamoja na machafuko.<br />

Ingeweza kuwa Nini<br />

Kukimbia kwa Wahuguenots,ufungufu na inchi nzima ukawa katika Ufransa. Miji <strong>ya</strong><br />

usitawi kwa viwanda ikaanguka kwa uharibifu. ... Ikakadirishwa kwamba, kwa mwanzo wa<br />

Mapinduzi, maelfu mia mbili <strong>ya</strong> wamaskini katika Paris wakadai mapendo kwa mikono <strong>ya</strong><br />

mfalme. Wajesuites peke <strong>ya</strong>o walifanikiwa katika taifa lililoharibika.”<br />

Injili ingalileta suluhu kwa magumu hayo <strong>ya</strong>liyoshinda mapadri wake, mfalme, na<br />

wafan<strong>ya</strong> sheria, na mwishowe wakaingiza taifa katika uharibifu. Lakini chini <strong>ya</strong> utawala wa<br />

Roma watu wakapoteza mafundisho <strong>ya</strong> Mwokozi <strong>ya</strong> kujinyima na upendo wa choyo kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> mazuri <strong>ya</strong> wengine. Mtajiri hakuwa na karipio kwa ajili <strong>ya</strong>kugandamiza maskini; maskini<br />

hawakuwa na msaada kwa uzaifu wao. Choyo <strong>ya</strong> mtajiri na uwezo <strong>ya</strong>kazidi kulemea. Kwa<br />

karne nyingi, watajiri wakakosea wamaskini, na wamaskini wakawachukia matajiri.<br />

Katika majimbo mengi madaraka <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong>kazi <strong>ya</strong>likuwa chini <strong>ya</strong> wenyeji na<br />

walilazimishwa kutii maagizo <strong>ya</strong> kupita kiasi. Madaraja <strong>ya</strong> katikati na <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> wafan<strong>ya</strong><br />

110

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!