12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 17. Ahadi za Kurudi kwa Kristo<br />

Ahadi <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> pili ili kutimiza kazi kubwa <strong>ya</strong> ukombozi ni msingi wa<br />

Maandiko matakatifu. Tangu Edeni, watoto wa imani wamengojea kuja kwa Yule<br />

Aliyeahidiwa kwa kuwaleta tena kwa Paradiso iliyopotea.<br />

Enoki, mtu wa saba katika uzao kutoka kwa wale ambao waliokaa katika Edeni, ambaye<br />

kwa karne tatu alitembea pamoja na Mungu, akatangaza, “Angalia, Bwana anakuja na<br />

watakatifu wake, elfu kumi, ill afanye hukumu juu <strong>ya</strong> watu wote,” Yuda 14,15. Yobu katika<br />

usiku wa taabu akapaaza sauti, “Lakini ninajua <strong>ya</strong> kuwa Mkombozi wangu ni hai, Na <strong>ya</strong> kuwa<br />

katika siku za mwisho atasimama juu <strong>ya</strong> inchi:... pasipo mwili wangu nitamuona Mungu: Na<br />

mimi mwenyewe nitamuona. Na macho <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong>tamutazama, wala si mwingine.” Yoba<br />

19:25-27. Washairi (poets) na manabii wa Biblia walieleza sana juu <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo katika<br />

maneno yenye mwangaza wa moto. “Mbingu zifurahi, na inchi ishangilie, ... Mbele <strong>ya</strong> Bwana,<br />

kwa maana anakuja; Kwa maana anakuja kuhukumu inchi. Atahukumu ulimwengu kwa haki,<br />

na mataifa kwa kweli <strong>ya</strong>ke.” Zaburi 96:11-13.<br />

Akasema Isa<strong>ya</strong>: “Katika siku ile itasemwa, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu,<br />

Tumemungoja, ... Tutashangilia na tutafurahi katika wokovu wake.” Isa<strong>ya</strong> 25:9. Mwokozi<br />

akafariji wanafunzi wake na tumaini <strong>ya</strong> kuwa atakuja tena: “Katika nyumba <strong>ya</strong> Baba <strong>ya</strong>ngu<br />

ni makao mengi ... ninakwenda, kuwatengenezea ninyi makao. Na kama ninakwenda, ...<br />

nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi kwangu.” “Mwana wa watu atakapokuja katika<br />

utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, halafu ataketi juu <strong>ya</strong> kiti cha utukufu wake; na<br />

mbele <strong>ya</strong>ke mataifa yote watakusanyika.” Yoane 14:2,3; Matayo 25:31,32.<br />

Malaika walikariri kwa wanafunzi ahadi <strong>ya</strong> kurudi kwake; “Huyu Yesu aliyechukuliwa<br />

toka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja namna hii sawasawa mulivyomwona akikwenda<br />

zake mbinguni.” Matendo 1:11. Na Paulo akashuhudia: “Kwa sababu Bwana mwenyewe<br />

atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti <strong>ya</strong> malaika mkubwa, pamoja na baragumu<br />

<strong>ya</strong> Mungu.” 1 Watesalonika 4:16. Akasema nabii wa Patemo: “Tazama, anakuja na mawingu;<br />

na kila jicho litamwona.” Ufunuo 1:7.<br />

Halafu desturi ndefu iliyoendelea <strong>ya</strong> uovu itavunjika: “Ufalme wa dunia umekwisha kuwa<br />

ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala hata milele na milele.” Ufunuo<br />

11:15. “Na kama shamba linalochipuza vitu vilivyopandwa ndani <strong>ya</strong>ke: ndivyo Bwana<br />

Mungu ataotesha haki na sifa mbele <strong>ya</strong> mataifa yote.” Isa<strong>ya</strong> 61:11.<br />

Halafu ufalme wa amani wa Masi<strong>ya</strong> utaimarishwa “Maana Bwana atafariji Sayuni;<br />

atafariji pahali pake pote pa pori; atafan<strong>ya</strong> jangwa lake kuwa kama Edeni, na jangwa lake<br />

kama shamba la Bwana.” Isa<strong>ya</strong> 51:3.<br />

Kuja kwa Bwana kumekuwa katika vizazi vyote tumaini la wafuasi wake wa kweli. Kati<br />

<strong>ya</strong> taabu na mateso, “na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mkubwa, Mwokozi wetu Yesu<br />

119

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!