12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

akaita makutano huko Augsburg. Akatangaza kusudi lake kwa kuongoza mwenyewe.<br />

Waongozi wa <strong>Kiprotestanti</strong> wakaitwa.<br />

Mchaguzi wa Saxony akashurutishwa na washauri wake asionekane kwa makutano: “Je,<br />

hivyo si kujihatarisha kwa kwenda kwa kila kitu na kujifungia ndani <strong>ya</strong> kuta za muji pamoja<br />

na adui wenye nguvu?” Lakini wengine wakamwambia kwa uhodari “Acha watawala tu<br />

wapatane wao wenyewe na uhodari na hoja <strong>ya</strong> Mungu itaokoka.” “Mungu ni mwaminifu:<br />

hatatuacha,” akasema Luther. Mchaguzi akashika safari kwenda Augsburg. Wengi wakaenda<br />

kwenye mkutano na uso wa huzuni na moyo wa taabu. Lakini Luther aliyewasindikiza hata<br />

Coburg, akaamsha imani <strong>ya</strong>o kwa kuimba wimbo ulioandikwa walipokuwa safarini, “ngome<br />

yenye uwezo ndiye Mungu wetu’. Mioyo nyingi yenye uzito ikawa nyepesi kwa sauti za<br />

juhudi za kutia moyo.<br />

Watawala walioongoka wakakusudia kuwa na maelezo <strong>ya</strong> maono <strong>ya</strong>o, pamoja na<br />

ushuhuda kutoka kwa Maandiko, <strong>ya</strong> kuonyesha mbele <strong>ya</strong> mkutano. Kazi <strong>ya</strong> mata<strong>ya</strong>risho <strong>ya</strong>ke<br />

ikapewa Luther, Melanchton na washiriki wao. Ungamo hili likakubaliwa na Waprotestanti,<br />

na wakakusanyika kwa kutia majina <strong>ya</strong>o kwa maandiko <strong>ya</strong> mapatano.<br />

Watengenezaji walitamani zaidi bila kuchanganisha hoja <strong>ya</strong>o na maswali <strong>ya</strong> siasa. Kama<br />

vile watawala Wakikristo waliendelea kutia sahihi <strong>ya</strong> ungamo, Melanchton akaingia kati, na<br />

kusema, “Ni kwa wachunguzi wa mambo <strong>ya</strong> dini na wahubiri kwa kutoa shauri la mambo<br />

ha<strong>ya</strong>; tuchunge maoni mengine kwa ajili <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> wakuu wa inchi.” “Mungu<br />

anakataza” akajibu Jean wa Saxony, “Kwamba mgenitenga. Ninakusudia kutenda <strong>ya</strong>liyo haki,<br />

bila kujihangaisha mimi mwenyewe juu <strong>ya</strong> taji langu. Natamani kuungama Bwana. Kofia<br />

<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> uchaguzi na ngozi <strong>ya</strong> mapendo <strong>ya</strong> wahukumu si v<strong>ya</strong> damani kwangu kama msalaba<br />

wa Yesu Kristo.” Akasema mwengine katika watawala alipochukua kalamu, “Kama heshima<br />

<strong>ya</strong> Bwana wangu Yesu Kristo huidai, niko ta<strong>ya</strong>ri ... kuacha mali na maisha <strong>ya</strong>ngu nyuma.”<br />

“Tafazali ningekataa mambo <strong>ya</strong>ngu na makao <strong>ya</strong>ngu, zaidi kutoka inchini mwa baba zangu<br />

na fimbo mkononi,” akaendelea, “kuliko kukubali mafundisho mengine mbali na ambayo<br />

<strong>ya</strong>nayokuwa katika ungamo hili.”<br />

Wakati ulioagizwa ukafika. Charles V, akazungukwa na wachaguzi na watawala,<br />

akakubali kuonana na Watengenezaji wa Waprotestanti. Katika mkutano tukufu ule mambo<br />

<strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> injili <strong>ya</strong>katangazwa wazi wazi na makosa <strong>ya</strong> kanisa la Papa <strong>ya</strong>kaonyeshwa. Siku<br />

ile ikatangazwa “siku kubwa sana <strong>ya</strong> Matengenezo, na siku mojawapo <strong>ya</strong> utukufu katika<br />

historia <strong>ya</strong> Kikristo na <strong>ya</strong> wanadamu.”<br />

Mtawa wa Wittenberg akasimama peke <strong>ya</strong>ke huko Worms. Sasa mahali pake kukawa<br />

watawala hodari kuliko wa ufalme. “Ninafurahi sana,” Luther akaandika, “kwamba nimeishi<br />

hata kwa wakati huu, ambao Kristo ametukuzwa wazi wazi na mashahidi bora kama hawa,<br />

na katika mkutano tukufu sana.” Ujumbe ambao mfalme alioukataza kuhubiriwa kwa<br />

mimbara ukatangazwa kwa jumba lake la kifalme. Maneno ambayo wengi waliifikiri kama<br />

<strong>ya</strong>siyofaa hata mbele <strong>ya</strong> watumikaji, <strong>ya</strong>lisikiwa kwa mshangao na mabwana wakubwa na<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!