12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Whitefield na Wesleys wawili waliitwa kwa wakati ule “Methodistes” na wanafunzi<br />

wenzao waba<strong>ya</strong> -jina ambalo kwa wakati huu linazaniwa kuwa la heshima. Roho Mtakatifu<br />

aliwalazimisha kuhubiri Kristo na Yeye aliyesulubiwa. Maelfu waliogeuka kwa kweli.<br />

Ilikuwa ni lazima kwamba kondoo hizi zilindwe kutoka mbwa mwitu wenye wazimu. Wesley<br />

hakuwa na wazo la kuanzisha dini lingine, lakini aliwatengeneza chini <strong>ya</strong> kile kilichoitwa<br />

mwunganisho wa Methodiste.<br />

Ulikuwa ushindani wa siri na taabu <strong>ya</strong> uinzani ambayo wahubiri hawa walipambana nayo<br />

kwa kuanzisha kanisa--kwani kweli ilikuwa na mwingilio mahali milango labda ingedumu<br />

kuendelea yenye kufungwa. Wakuu wengine wa dini wakaamka kwa mshangao wa tabia <strong>ya</strong>o<br />

na wakawa wahubiri wa juhudi katika mitaa <strong>ya</strong>o wenyewe.<br />

Kwa wakati wa Wesley, watu wa vipawa mbalimbali hawakulinganisha kila sehemu <strong>ya</strong><br />

mafundisho <strong>ya</strong> dini. Tofauti kati <strong>ya</strong> Whitefield na Wesleys wawili ilitisha wakati moja kuleta<br />

fitina, lakini kwa namna walijifunza upole katika chuo cha Kristo, uvumilivu na upendo<br />

vikawapatanisha. Hawakuwa na wakati wa kubishana, wakati ambao makosa na maovu<br />

<strong>ya</strong>lijaa pote.<br />

Wesley Anaepuka Kifo<br />

Watu wa mvuto wakatumia uwezo wao kinyume chao. Wakuu wengi wa kanisa<br />

wakaonyesha uchuki, na milango <strong>ya</strong> makanisa ikafungwa juu <strong>ya</strong> imani safi. Padri,<br />

akiwalaumu juu <strong>ya</strong> mimbara, akachochea watu wajinga wa giza na waovu. Mara na mara<br />

Wesley akaepuka kifo kwa muujiza wa uhuruma <strong>ya</strong> Mungu. Wakati ilionekana kwamba<br />

hakuna njia <strong>ya</strong> kuepuka, malaika katika umbo la kibinadamu alikuja upande wake na kundi<br />

lilianguka na mtumishi wa Kristo akapita katika usalama kutoka hatarini.<br />

Kwa ajili <strong>ya</strong> ulinzi wake, mojawapo wa matukio hayo, Wesley akasema: “Ingawa wengi<br />

walijaribu kukamata ukosi wa shingo <strong>ya</strong>ngu ao mavazi, kuniangusha, hawakuweza kufunga<br />

kamwe: ila mmoja tu alishika upindo wa kisibau changu ambacho kikabaki mara mkononi<br />

mwake; na upindo mwengine, ndani <strong>ya</strong> mfuko ambao ulikuwamo noti <strong>ya</strong> benki, ilipasuka<br />

lakini nusu <strong>ya</strong>ke. ... Mtu wa nguvu nyuma <strong>ya</strong>ngu akanipiga mara nyingi, na fimbo kubwa <strong>ya</strong><br />

mti wa Ula<strong>ya</strong> (che ne); ambayo kama angalinipaga mara moja tu kwa upande wa nyuma wa<br />

kichwa changu, ingalikuwa ni mwisho wangu. Lakini kila mara, pigo likapotoka, sijui namna<br />

gani; kwani sikuweza kwenda kuume wala kushoto.”<br />

Wamethodiste wa siku ile walivumilia kicheko na mateso, mara nyingi mauaji. Kwa<br />

n<strong>ya</strong>kati zingine, matangazo kwa watu wote libandikwa, kuita wale waliotaka kuvunja<br />

madirisha na kun<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> katika nyumba za Wamethodiste ili wakusanyike kwa wakati<br />

ulitolewa na mahali. Mateso <strong>ya</strong> desturi <strong>ya</strong>kafanyika juu <strong>ya</strong> watu ambao kosa moja tu lilikuwa<br />

ni kutafuta kugeuza wenye zambi kutoka kwa njia <strong>ya</strong> uharibifu na kuwaingizisha kwa njia <strong>ya</strong><br />

utakatifu!<br />

102

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!