12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

wazi, akapaza sauti na kulia: “Wameondoa Bwana wangu, wala sijui pahali walipomuweka.”<br />

Yoane 20:13.<br />

Hofu kwamba habari ingeweza kuwa kweli ikatumiwa kama kizuio juu <strong>ya</strong> ulimwengu<br />

usiosadiki. Lakini walipoona hakuna alama za hasira <strong>ya</strong> Mungu, wakafunika tena hofu <strong>ya</strong>o na<br />

kuendelea na laumu lao na cheko. Kundi kubwa lililojidai kuamini wakaacha imani <strong>ya</strong>o.<br />

Wenye kuzihaki wakavuta wazaifu na wenye kuogopea vyeo na hawa wote wakajiunga katika<br />

kutangaza kwamba ulimwengu unaweza kudumu kwa namna ileile kwa maelfu <strong>ya</strong> miaka.<br />

Waaminifu waliojitoakwa kweli walikuwa wameacha vyote kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, na kama<br />

walivyoamini, wakatoa onyo lao la mwisho kwa ulimwengu. Kwa hamu kubwa sana<br />

walikuwa wameomba , “Kuja Bwana Yesu.” Lakini sasa kwa kuchukua tena mzigo wa matata<br />

<strong>ya</strong> maisha na kudumu kwa matusi <strong>ya</strong> ulimwengu wenye kuzihaki lilikuwa jaribu la kutisha<br />

sana.<br />

Wakati Yesu alipopanda juu <strong>ya</strong> punda na kuingia Jerusalem kama mshindi wanafunzi<br />

wake waliamini kwamba alitaka kuketi juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme cha Dawidi na kukomboa Israeli<br />

kwa magandamizi. Kwa matumaini <strong>ya</strong> juu, wengi wakatandika mavazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> inje kama zulia<br />

(tapis) katika njia <strong>ya</strong>ke wala kutapan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong>ke matawi yenye majani mengi <strong>ya</strong> ngazi.<br />

Wanafunzi walikuwa wakitimiza kusudi la Mungu,lakini wakaangamizwa kwa uchungu<br />

mkali. Lakini siku chache zikapita kabla hawajashuhudia kifo cha maumivu makubwa cha<br />

Mwokozi na kumlaza ndani <strong>ya</strong> kaburi. Matumaini <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafa pamoja na Yesu. Hata wakati<br />

Bwana alipofufuka toka kaburini ndipo wakaweza kufahamu kwamba mambo yote<br />

<strong>ya</strong>litabiriwa kwa unabii.<br />

Ujumbe Ulitolewa kwa Wakati Uliofaa<br />

Kwa namna ileile Miller na washiriki wake wakatimiza unabii na wakatoa ujumbe ambao<br />

Maongozi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>litabiri ulipashwa kutolewa kwa ulimwengu. Hawangeweza kuutoa<br />

wangefahamu kabisa mambo <strong>ya</strong> unabii <strong>ya</strong>nayoelekea uchungu wao, na kutoa ujumbe<br />

mwengine kuhubiriwa kwa mataifa yote kabla <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana. Habari za malaika wa<br />

kwanza na wa pili zilitolewa kwa wakati unaofaa na zilitimiza kazi ambayo Mungu<br />

aliyokusudia waitende.<br />

Dunia ilikuwa ikitazamia kwamba kama Kristo hangetokea, Kiadventiste kingeachwa .<br />

Lakini wakati watu wengi walipoacha imani <strong>ya</strong>o kulikuwa wengine waliosimama imara.<br />

Matunda <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> adventiste, roho <strong>ya</strong> uchunguzi wa moyo, <strong>ya</strong> kukana dunia na kutengeneza<br />

maisha, ikashuhudia kwamba ilikuwa kazi <strong>ya</strong> Mungu. Hawakusubutu kukana kwamba Roho<br />

Mtakatifu alishuhudia kwa mahubiri <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu mara <strong>ya</strong> pili. Hawakuweza kuvumbua<br />

kosa katika n<strong>ya</strong>kati maalum za unabii. Adui zao hawakufaulu kuangusha maelezo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

unabii. Hawakuweza kukubali kukana msimamo uliofikiwa kwa njia na juhudi, kujifunza<br />

Maandiko kwa maombi, katika akili zilizoangaziwa na Roho wa Mungu na mioyo <strong>ya</strong><br />

165

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!