12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakati msingi wa kanisa la Roma linaimarishwa juu <strong>ya</strong> madanganyo, si la ushenzi na<br />

ujiinga. Huduma <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kawaida ni <strong>ya</strong> kuvuta sana. Maonyesho <strong>ya</strong>ke<br />

mazuri sana mengi na kanuni kubwa za dini zinavuta watu na kun<strong>ya</strong>mazisha sauti <strong>ya</strong> akili na<br />

zamiri. Jicho linavutwa kwa uzuri. Makanisa mazuri kabisa, maandamano makubwa <strong>ya</strong> ajabu,<br />

mazabahu <strong>ya</strong> zahabu, sanduku za kuwekea vitu vitakatifu za johari, mapicha mazuri, na<br />

muchoro bora vinavuta wenye kupenda uzuri. Muziki ni waajabu. Nukta za muziki nzuri za<br />

kutoka kwa sauti kubwa za kinanda zinachanganyika na nyimbo tamu sana za sauti nyingi<br />

kama inavyoongeza katika madari <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong> juu sana na sehemu ndefu <strong>ya</strong> nguzo <strong>ya</strong><br />

majengo makubwa <strong>ya</strong> kanisa <strong>ya</strong>ke, <strong>ya</strong>navuta akili <strong>ya</strong> uchai na heshima.<br />

Utukufu huu wa inje na ibada vinacheka tamaa za nafsi yenye kugonjwa <strong>ya</strong> zambi. Dini<br />

<strong>ya</strong> Kristo haihitaji mivuto <strong>ya</strong> namna hiyo. Nuru inayongaa kutoka kwa msalaba inaonekana<br />

safi na <strong>ya</strong> kupendeza na hakuna mapambo <strong>ya</strong> inje <strong>ya</strong>nayoweza kuongeza damani <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

kweli. Mawazo <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> ufundi, malezi <strong>ya</strong> kupendeza tamaa, mara kwa mara <strong>ya</strong>natumiwa na<br />

Shetani kuongoza watu kusahau mahitaji <strong>ya</strong> nafsi na kuishi kwa ajili <strong>ya</strong> ulimwengu huu tu.<br />

Fahari na sherehe <strong>ya</strong> kuabudu kwa Kikatoliki kunakuwa na uwezo wa kuvuta (kushawishi)<br />

kufan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong>, nzuri wakupoteza akili, na hiyo, wengi wamedanganyika. Wanajipatia<br />

uhakikisho juu <strong>ya</strong> Kanisa la Roma kuwa mlango wa mbinguni. Hakuna hata mmoja ila tu<br />

wale wanaoweka miguu <strong>ya</strong>o kwa msingi wa kweli, ambao mioyo <strong>ya</strong>o hufanywa up<strong>ya</strong> kwa<br />

Roho <strong>ya</strong> Mungu, wanakuwa salama juu <strong>ya</strong> mvuto wake. Mfano wa utawa pasipo uwezo ni<br />

kitu kile wengi wanatamani.<br />

Madai <strong>ya</strong> Kanisa kwa haki kwa <strong>ya</strong> kusamehe zambi <strong>ya</strong>naongoza wafuasi wa Roma<br />

kujisikia huru kwa zambi, na agizo la maungamo linaelekea vile vile kutoa ruhusa kwa uovu.<br />

Yeye anayepiga magoti mbele <strong>ya</strong> mtu aliyeanguka na anafungua katika maungamo mawazo<br />

<strong>ya</strong> siri <strong>ya</strong> moyo wake anapoteza cheo cha nafsi <strong>ya</strong>ke. Katika kufunua zambi za maisha <strong>ya</strong>ke<br />

kwa padri--mwenye kufa wa kosa-cheo cha tabia <strong>ya</strong>ke ni chini, na anakuwa mchafu kwa hiyo.<br />

Mawazo <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> Mungu ni <strong>ya</strong> kushusha cheo katika mfano wa mwanadamu aliyeanguka,<br />

kwa sababu kuhani anasimama kama mjumbe wa Mungu. Ungamo hili la ha<strong>ya</strong> la mtu kwa<br />

mtu ni chemchemi <strong>ya</strong> siri ambamo kumebubujika uwingi wa uovu unaochafua ulimwengu.<br />

Kwani kwa yeye anayependa anasa, ni kupendeza zaidi kuungama kwa mtu wa mauti kuliko<br />

kufungua roho kwa Mungu. Ni jambo la kupendeza zaidi kwa kiumbe mwanadamu kutubu<br />

kuliko kuacha zambi; ni rahisi kuhuzunisha wala kutesa mwili kwa nguo <strong>ya</strong> gunia kuliko<br />

kusulubisha tamaa za mwili.<br />

Mfano Wa Kushangaza<br />

Wakati walipozarau kwa siri kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

Mungu, walikuwa wa kali kwa inje katika kushika amri zake, kuzilemeza kwa masharti<br />

<strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> utii kuwa mzito. Kama vile Wayuda walivyojidai kuheshimu sheria, vivyo hivyo<br />

watu wa kanisa la Roma wanajidai kwa heshima <strong>ya</strong> msalaba.<br />

230

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!