12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

siku 2300; malaika Gabrieli, ingawa aliagizwa kwa kufahamisha Danieli njozi, akamupa tu<br />

sehemu <strong>ya</strong> maelezo. Kwa sababu mateso <strong>ya</strong> kutisha ilifaa kuanguka juu <strong>ya</strong> kanisa ilikuwa<br />

haikufunuliwa kwa njozi <strong>ya</strong> nabii, hakuweza kuvumilia tena. Danieli “akazimia, na kugonjwa<br />

siku chache.” “Nikashangaa kwa maono,” akasema, “lakini hakuna aliye<strong>ya</strong>fahamu.” Danieli<br />

8:27.<br />

Lakini Mungu akaagiza mjumbe wake, “Fahamisha mtu huyu maono.” Kwa kutii, malaika<br />

akarudi kwa Danieli, kusema: “Nimekuja sasa ili nikupe akili upate kufahamu ... kwa sababu<br />

hii elewa maneno ha<strong>ya</strong> na kufahamu maono.” Jambo moja la maana katika sura <strong>ya</strong> 8 liliachwa<br />

bila kufasiriwa, <strong>ya</strong>ani, siku 2300; kwa hiyo malaika, kwa kuendelea na maelezo <strong>ya</strong>ke,<br />

akaeleza sana juu <strong>ya</strong> wakati:<br />

“Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong> watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako<br />

mtakatifu... Ujue basi na kufahamu <strong>ya</strong> kuwa tangu kuwekwa amri <strong>ya</strong> kutengeneza na kujenga<br />

Yerusalema hata mupakaliwa, masi<strong>ya</strong> mkubwa, <strong>ya</strong>takuwa majuma saba na majuma makumi<br />

sita na mawili; njia kuu itajengwa tena, na ukuta, hata katika n<strong>ya</strong>kati za taabu. Na nyuma <strong>ya</strong><br />

majuma makumi sita na majuma mawili massiah atakataliwa mbali, lakini ni kwake<br />

mwenyewe: ... Naye atafan<strong>ya</strong> agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja: na kwa nusu<br />

<strong>ya</strong> juma atakomesha kafara na toleo.” Danieli 8:16; 9:22,23, 24-27.<br />

Malaika alitumwa kwa Danieli kwa kueleza jambo aliloshindwa kufahamu “Hata<br />

mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu mbili mia tatu; ndipo Pahali patakatifu patasafishwa.”<br />

Maneno <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> malaika ni ha<strong>ya</strong>, “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu <strong>ya</strong><br />

watu wako na juu <strong>ya</strong> mji wako.” Neno umeamriwa kwa halisi maana <strong>ya</strong>ke “atakatiliwa<br />

mbali.” Majuma makumi saba, miaka 490, ilipaswa kukatiliwa mbali kuwekwa kando kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi.<br />

Mda wa N<strong>ya</strong>kati Mbili Zilianza Pamoja<br />

Lakini kukatiliwa mbali kwa nini? Hivi siku 2300 zilikuwa ni mda tu wa wakati uliotajwa<br />

katika sura 8, majuma makumi saba <strong>ya</strong>napaswa basi kuwa sehemu <strong>ya</strong> siku 2300. N<strong>ya</strong>kati<br />

mbili hizo zinapaswa kuanza pamoja, majuma makumi saba tangu “kuwekwa amri” <strong>ya</strong><br />

kutengeneza na kujenga Yerusalema. Kama tarehe <strong>ya</strong> amri hii ingeweza kupatikana, ndiyo<br />

ingekuwa mwanzo wa uhakika wa siku 2300.<br />

Katika sura <strong>ya</strong> saba <strong>ya</strong> Ezra amri inapatikana, ilitolewa na Artasasta, mfalme wa Persia,<br />

katika mwaka 457 B.C. Wafalme watatu katika kuanzisha na kutimiza amri, wakaifan<strong>ya</strong> kwa<br />

utimilivu uliotakiwa na unabii kwa kutia alama <strong>ya</strong> mwanzo wa mwaka 2300. Kukamata miaka<br />

457 B.C., wakati amri ilipotimia, kama tarehe <strong>ya</strong> “amri”, kila hatuwa <strong>ya</strong> majuma makumi<br />

saba ikaonekana katika kutimilika. (Tazama Nyongezo.)<br />

Kwa kuendelea kwa kutengeneza na kujenga Yerusalema hata Masi<strong>ya</strong> Mfalme itakuwa<br />

majuma saba, na majuma makumi sita na mawili”majuma makumi sita na kenda, ao miaka<br />

483. Amri <strong>ya</strong> Artasasta ikatendeka katika wakati wa masika wa mwaka 457 B.C. Kutoka<br />

132

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!