12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kumpokea mjumbe wa mbinguni. Kwa gafula utukufu wa mbinguni ukajaa pote katika<br />

uwanda, kundi lisilohesabika la wamalaika likafunuliwa; na kana kwamba furaha ilikuwa<br />

kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> mjumbe kutoka mbinguni, wingi wa masauti kuimba wimbo wa furaha<br />

ambao mataifa yote <strong>ya</strong> waliookolewa wataimba siku moja: “Utukufu kwa Mungu aliye juu,<br />

na salama duniani, katika watu wanaomupendeza.” Luka 2:14.<br />

Fundisho la namna gani linakuwa kwa historia <strong>ya</strong> ajabu hii <strong>ya</strong> Betelehemu! Namna gani<br />

inakemea kutokuamini kwetu, kiburi chetu na hali <strong>ya</strong> kuwaza tunatosheka nafsini. Namna<br />

gani inatuon<strong>ya</strong> kwa kujihazari, ili sisi vile vile tusishindwe kutambua ishara za n<strong>ya</strong>kati na<br />

kwa hiyo hatutajua siku <strong>ya</strong> kuzuriwa kwetu.<br />

Si miongoni mwa wachungaji tu ambamo malaika walipata walinzi kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwa<br />

Masi<strong>ya</strong>. Katika inchi <strong>ya</strong> wapagani vile vile kulikuwa wale waliomtazamia--watajiri, watu bora<br />

wenye akili— wenye elimu zote wa Mashariki. Kutoka kwa Maandiko <strong>ya</strong> Kiebrania walikuwa<br />

wakijifunza habari <strong>ya</strong> nyota kutokea kwa Yakobo. Kwa mapenzi <strong>ya</strong> bidii walingojea kuja<br />

kwake yeye aliyepashwa kuwa si “Faraja la Israeli” tu, bali “Nuru <strong>ya</strong> kuangazia Mataifa,” na<br />

“kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.” Luka 2:25, 32; Matendo 13:47. Mbingu--ikatuma<br />

nyota ikaongoza wageni wa mataifa kwa mahali pa kuzaliwa kwa Mfalme mp<strong>ya</strong> aliyezaliwa.<br />

Ni kwa “wale wanaomungojea” Kwamba Kristo “ataonekana mara <strong>ya</strong> pili, si tena kwa<br />

zambi, lakini kuokoa wale wanaomungojea kwa wokovu.” Waebrania 9:28. Kama habari <strong>ya</strong><br />

kuzaliwa kwa Mwokozi, ujumbe wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili haukutolewa kwa waongozi wa<br />

dini <strong>ya</strong> watu. Walikataa nuru kutoka mbinguni; kwa hiyo hawakuwa katika hesabu <strong>ya</strong> wale<br />

waliotajwa na mtume Paulo: “Lakini ninyi ndugu, si katika giza, hata siku ile iwapate ninyi<br />

kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na wana wa mchana: sisi hatuko wana wa<br />

usiku wala wa giza.” 1 Watesalonika 5:4, 5.<br />

Walinzi juu <strong>ya</strong> kuta za Sayuni walipashwa kuwa wa kwanza kupata habari <strong>ya</strong> kuja kwa<br />

Mwokozi, wa kwanza kutangaza ukaribu wa kuja kwake. Lakini walikuwa kwa raha, wakati<br />

watu walikuwa katika usingizi wa zambi zao. Yesu aliona kanisa lake, kama mti wa mtini<br />

usiozaa, umefunikwa na majani <strong>ya</strong> fahari, lakini pasipo kuwa na matunda <strong>ya</strong> damani. Roho<br />

<strong>ya</strong> unyenyekevu wa kweli, uvumilivu, na imani ilikosekana. Hapo kulikuwa kiburi, unafiki,<br />

uchoyo, ugandamizi. Kanisa laukufuru lilifunga macho <strong>ya</strong>o kwa alama za n<strong>ya</strong>kati. Wakatoka<br />

kwa Mungu na wakajitenga wao wenyewe kwa upendo wake. Namna walivyokataa na<br />

mapashwa <strong>ya</strong>liyowekwa, ahadi zake hazikutimizwa kwao.<br />

Wengi waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo wakakataa kupokea nuru kutoka mbinguni.<br />

Kama Wa<strong>ya</strong>hudi wa zamani, hawakujua wakati wa kuzuriwa kwao. Bwana akapita pembeni<br />

<strong>ya</strong>o na akafunua ukweli wake kwa wale ambao, kama wachungaji wa Betelehemu na Waakili<br />

wa Mashariki, walipewa usikizi kwa nuru yote walioyopokea.<br />

125

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!