12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wycliffe alipoitwa kwa kutetea haki za ufalme wa Uingereza juu <strong>ya</strong> kujiingiza kwa Roma,<br />

alitajwa kuwa balozi wa kifalme katika inchi <strong>ya</strong> Hollandi. Hapo ilimfan<strong>ya</strong> rahisi kupelekeana<br />

habari na mapadri kutoka Ufaransa, Italia, na Ispania, na alikuwa na bahati <strong>ya</strong> kutazama<br />

nyuma matukio <strong>ya</strong>liyofichwa kwake huko Uingereza. Katika wajumbe hawa kutoka kwa<br />

baraza <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Papa akasoma tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> serekali <strong>ya</strong> kanisa. Akarudi Uingereza<br />

kukariri mafundisho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza na juhudi kubwa, kutangaza kuwa kiburi na udanganyifu<br />

vilikuwa miungu <strong>ya</strong> Roma.<br />

Baada <strong>ya</strong> kurudi Uingereza, Wycliffe akapokea kutoka kwa mfalme kutajwa kuwa kasisi<br />

<strong>ya</strong> Lutterworth. Jambo hili lilikuwa uhakikisho kwamba mfalme alikuwa bado hajachukiwa<br />

na kusema kwake kwa wazi. Muvuto wa Wycliffe ukaonekana katika muundo wa imani <strong>ya</strong><br />

taifa. Radi za Papa zikatupwa upesi juu <strong>ya</strong>ke. Matangazo matatu <strong>ya</strong> Papa <strong>ya</strong>katumwa kuamuru<br />

mipango <strong>ya</strong> gafula <strong>ya</strong> kun<strong>ya</strong>mazisha mwalimu wa “upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> dini”<br />

Kufika kwa matangazo <strong>ya</strong> Papa kukawekwa agizo katika Uingereza pote kufungwa kwa<br />

mpinga wa dini. (Tazama Nyongezo). Ilionekana kweli kwamba Wycliffe alipashwa<br />

kuanguka upesi kwa kisasi cha Roma. Lakini yeye aliyetangaza kwa mmojawapo wa zamani,<br />

“usiogope ...: mimi ni ngabo <strong>ya</strong>ko” (Mwanzo 15:1), akanyosha mkono wake kulinda<br />

mtumishi wake. Kifo kikaja, si kwa Mtengenezaji, lakini kwa askofu aliyeamuru uharibifu<br />

wake.<br />

Kifo cha Gregoire XI kulifuatwa na uchaguzi wa mapapa wawili wapinzani. (Tazama<br />

Nyongezo). Kila mmoja akaita waaminifu wake kufan<strong>ya</strong> vita kwa mwengine, kukaza maagizo<br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> hofu kuu juu <strong>ya</strong> wapinzani wake na ahadi za zawadi mbinguni kwa wafuasi wake.<br />

Makundi <strong>ya</strong> wapinzani <strong>ya</strong>lifan<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>liweza kufan<strong>ya</strong> mashambuliano mmoja kwa<br />

mwengine, na Wycliffe kwa wakati ule alikuwaakipumzika.<br />

Mutengano pamoja na bishano yote na uchafu ambayo vilita<strong>ya</strong>risha njia kwa Mategenezo<br />

kwa kuwezesha watu kuona hakika hali <strong>ya</strong> kanisa la Roma. Wycliffe akaita watu kuzania<br />

kama mapapa hawa wawili hawakuwa wakisemea ukweli katika kuhukumiana mmoja kwa<br />

mwengine kama mpinga Kristo.<br />

Akakusudia kwamba nuru inapaswa kuenezwa kila pahali katika Uingereza, Wycliffe<br />

akatengeneza kundi la wahubiri, kujishusha, watu waliojitoa waliopenda ukweli na kuamania<br />

kuipanua. Watu hawa walikuwa wakifundisha katika barabara za miji mikubwa,na katika njia<br />

inchini, wakitafuta wazee, wagonjwa, na maskini, na wakawafungulia habari za furaha za<br />

neema <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Kule Oxford, Wycliffe akahubiri Neno la Mungu ndani <strong>ya</strong> vyumba vikubwa v<strong>ya</strong> chuo<br />

kikuu. Akapata cheo cha Daktari (Docteur) wa injili. Lakini kazi kubwa mno <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke<br />

ilikuwa kutafsiri kwa Maandiko katika lugha <strong>ya</strong> Kiingereza, ili kila mtu katika Uingereza<br />

aweze kusoma kazi za ajabu za Mungu.<br />

Anashambuliwa na Ugonjwa wa Hatari<br />

31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!