12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mwanamke (Babeli) yule “amevikwa nguo <strong>ya</strong> rangi <strong>ya</strong> zambarau na nyekundu,<br />

amepambwa kwa zahabu, na mawe <strong>ya</strong> bei kubwa, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha<br />

zahabu mkononi mwake, kinachojaa machukizo, na machafu... Na katika kipaji cha uso wake<br />

jina limeandikwa, SIRI, BABELI MKUBWA, MAMA YA MAKAHABA.” Anasema nabii:<br />

“Nikaona yule mwanamke amelewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu na kwa damu <strong>ya</strong> washuhuda wa<br />

Yesu.” Babeli “ni mji ule mkubwa unaotawala juu <strong>ya</strong> wafalme wa dunia.” Ufunuo 17:4-6, 18.<br />

Mamlaka ambayo kwa karne nyingi ilidumisha uwezo juu <strong>ya</strong> wafalme wa jamii <strong>ya</strong><br />

Wakristo wote ni Roma. Rangi <strong>ya</strong> zambarau, na nyekundu, zahabu, mawe <strong>ya</strong> bei kubwa, na<br />

lulu, vinaonyesha fahari iliyovaliwa na askofu mwenye kiburi wa Roma. Hakuna mamlaka<br />

ingine iliyoweza kutangazwa kwa kweli “amelewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu” kama kanisa lile<br />

ambalo lilitesa kwa ukali wafuasi wa Kristo.<br />

Babeli inasitakiwa vilevile kwa uhusiano usio wa sheria pamoja na “wafalme wa<br />

ulimwengu.” Kwa kuachana na Bwana kupatana na wapagani kanisa la Wa<strong>ya</strong>hudi likawa<br />

kahaba, na Roma, katika kutafuta usaada wa mamlaka <strong>ya</strong> kidunia, inapokea hukumu <strong>ya</strong> namna<br />

moja.<br />

“Babeli ni mama <strong>ya</strong> makahaba.” Binti zake wanapashwa kuwa makanisa <strong>ya</strong>nayoshika<br />

mafundisho <strong>ya</strong>ke na kufuata mfano wake wa kuacha kweli ili kufan<strong>ya</strong> mapatano pamoja na<br />

dunia. Ujumbe unaotangaza kuanguka kwa Babeli unapaswa kulinganishwa na makundi <strong>ya</strong><br />

ushirika wa dini <strong>ya</strong>liyokuwa safi zamani na imegeuka kuwa potovu. Kwa hivi ujumbe huu<br />

unafuata onyo la hukumu, unapaswa kutolewa katika siku za mwisho. Kwa hiyo haiwezi<br />

kutumiwa kwa kanisa la Roma tu, kwa maana lile lilikuwa katika hali <strong>ya</strong> maanguko muda wa<br />

karne nyingi.<br />

Tena, watu wa Mungu wanaitwa kutoka katika Bebeli. Kufuatana na maandiko ha<strong>ya</strong>, watu<br />

wa Mungu wengi wakingali katika Babeli, Na ni katika makundi gani <strong>ya</strong> dini ambamo<br />

munakuwa sehemu kubwa <strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo? Katika makanisa inayokiri imani <strong>ya</strong><br />

<strong>Kiprotestanti</strong>. Kwa wakati wa kutokea kwao makanisa ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lipata msimamo bora kwa ajili<br />

<strong>ya</strong> kweli, na mibaraka <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa pamoja nao. Lakini wakashindwa kwa tamaa <strong>ya</strong><br />

namna moja ileile ambayo ilikuwa uharibifu wa Israeli kuiga desturi na kujipendekeza na<br />

urafiki wa wasiomwogopa Mungu.<br />

Kujiunga Pamoja na Walimwengu<br />

Makanisa mengi <strong>ya</strong> kiprotestanti <strong>ya</strong>mefuata mfano wa uhusiano pamoja na “wafalme wa<br />

dunia” makanisa <strong>ya</strong> taifa, kwa uhusiano wao na serkali; na makanisa mengine, kwa kutafuta<br />

mapendeleo <strong>ya</strong> dunia. Neno “Babeli” machafuko--linaweza kutumiwa kwa makundi ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>nayojidai kwamba <strong>ya</strong>lipata mafundisho <strong>ya</strong>o kutoka kwa Biblia, lakini <strong>ya</strong>megawanyika<br />

katika makundi isiyohesabika pamoja na kanuni <strong>ya</strong> imani za mbalimbali.<br />

Kazi <strong>ya</strong> kanisa la kikatolika la Roma inabisha kwamba “kama kanisa la Roma lingekuwa<br />

na kosa <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu katika uhusiano kwa watakatifu, binti <strong>ya</strong>ke, kanisa la Uingereza,<br />

155

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!