12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

ulipashwa kwa kugeuza kanisa na ulimwengu, si kwa wakati wake mwenyewe tu, bali kwa<br />

vizazi vyote v<strong>ya</strong> baadaye. Luther aliagizwa upesi na mfalme kurudi nyumbani mwake.<br />

Tangazo hili lingefuata kwa upesi na hukumu <strong>ya</strong>ke. Mawingu <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong>kafunika njia <strong>ya</strong>ke,<br />

lakini kama alivyotoka Worms, moyo wake ukajaa na furaha na sifa.<br />

Baada <strong>ya</strong> kuondoka kwake, ili musimamo wake imara usizaniye kuwa uasi, Luther<br />

akaandika kwa mfalme: “Ninakuwa ta<strong>ya</strong>ri kwa kutii kwa moyo kabisa kwa utukufu wako,<br />

katika heshima wala katika zarau, katika maisha ao katika mauti, na kuto kukubali kitu<br />

kingine cho chote isipokuwa Neno la Mungu ambalo mtu huishi kwa ajili <strong>ya</strong>ke. ... Wakati<br />

faida <strong>ya</strong> milele,inahusika mapenzi <strong>ya</strong> Mungu si mtu anapashwa kujiweka chini <strong>ya</strong> mtu. Kwani<br />

kujitoa kwa namna ile katika mambo <strong>ya</strong> kiroho ni kuabudu kwa kweli, na kunapaswa<br />

kutolewa kwa Muumba peke <strong>ya</strong>ke.”<br />

Kwa safari kutoka Worms, watawala wa kanisa wakakaribisha kama mfalme mtawa<br />

aliyetengwa kwa kanisa, na watawala wa serkali wakamheshimu mtu aliyelaumiwa na<br />

mfalme. Akalazimishwa kuhubiri, na bila kujali makatazo <strong>ya</strong> mfalme, akaingia tena kwa<br />

mimbara. “Siku ahidi kamwe mimi mwenyewe kufunga neno la Mungu kwa mnyororo,”<br />

akasema, “ama sitalifunga.”<br />

Mda kidogo baada <strong>ya</strong> kutoka Worms, wasimamizi wa Papa wakamshawishi mfalme kutoa<br />

amri juu <strong>ya</strong>ke. Luther alitangazwa kama “Shetani mwenyewe chini <strong>ya</strong> umbo la mtu anayevaa<br />

kanzu <strong>ya</strong> watawa.” Mara ruhusa <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kupita inapomalizika, mipango ilipaswa kukamatwa<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> kukataza kumkaribisha, kumupa chakula wala kinywaji, ao kwa neno ao tendo,<br />

msaada wala kushirikiana naye. Alipashwa kutolewa mikononi mwa watawala, wafuasi wake<br />

pia kufungwa na mali <strong>ya</strong>o kun<strong>ya</strong>nganywa. Maandiko <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lipashwa kuharibiwa, na<br />

mwishowe, wote wangesubutu kutenda kinyume cha agizo hili walihusika katika hukumu<br />

<strong>ya</strong>ke. Mchaguzi wa Saxe na watawala wote, waliokuwa rafiki sana wa Mtengenezaji,<br />

walipotoka Worms baada kidogo <strong>ya</strong> kutoka kwake, na agizo la mfalme likapokea ukubali wa<br />

baraza. Waroma walishangilia. Wakaamini mwicho wa Mtengenezaji kutiwa mhuri kabisa.<br />

Mungu Anatumia Frederic wa Saxe<br />

Jicho la uangalifu lilifuata mwendo wa Luther, na moyo wa kweli na bora ulikusudia kwa<br />

kumwokoa. Mungu ukamtolea Frederic wa Saxe mpango kwa ajili <strong>ya</strong> ulinzi wa Mtengenezaji.<br />

Kwa safari <strong>ya</strong> kurudi nyumbani Luther akatengana na wafuasi wake na kwa haraka<br />

akapelekwa kwa njia <strong>ya</strong> mwitu kwa jumba la Wartburg, ngome <strong>ya</strong> ukiwa juu <strong>ya</strong> mlima.<br />

Maficho <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lifanywa na fumbo ambalo hata Frederic mwenyewe hakujua<br />

mahalialipopelekwa. Ujinga huu ulikuwa na kusudi; hivi mchaguzi hakujua kitu, hangeweza<br />

kufunua kitu. Akatoshelewa kwamba Mtengenezaji alikuwa salama, akatulia.<br />

Mvua wa nyuma, wakati wajua kali, na wakati wa masika ukapita, na wakati wa baridi<br />

ukafika, na Luther aliendelea kuwa mfungwa. Aleander na wafuasi wake wakafurahi. Nuru<br />

65

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!