12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

hawa waliokufa po pote katika inchi wakafurahisha roho za watu na kusudi isiyokufa <strong>ya</strong><br />

kuvunja minyororo za Roma.<br />

Yohana Knox<br />

Hamilton na Wishart, pamoja na mstari mrefu wa wanafunzi wapole, wakatoa maisha <strong>ya</strong>o<br />

kwa kigingi. Lakini kutoka kwenye tuta la kuni moto wa Wishart kukatokea mtu ambaye<br />

ndimi za moto hazikumun<strong>ya</strong>mazisha, mtu ambaye, chini <strong>ya</strong> uongozi wa Mungu ilipashwa<br />

kupinga onyo la mauti kwa kanisa la Papa katika inchi <strong>ya</strong> Scotland.<br />

John Knox akatupia mbali maagizo <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kanisa na akajilisha kwa ukweli wa Neno<br />

la Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong> Wishart <strong>ya</strong>kathibitisha kusudi lake la kuachana na Roma na<br />

kujiunga mwenyewe na Watengenezaji walioteswa.<br />

Aliposhurutishwa na wenzake kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kuhubiri, akarudi anapotetemeka mbele <strong>ya</strong><br />

madaraka kama hayo. Ilikuwa tu baada <strong>ya</strong> siku za vita kali pamoja naye ndipo akakubali.<br />

Lakini alipokubali, akaendelea mbele na uhodari wa kutisha. Ujasiri huu wa mtengenezaji<br />

haukuogopa mtu. Alipoletwa uso kwa uso na malkia wa Scotland, Yohana Knox hakukubali<br />

kushindwa kwa sababu <strong>ya</strong> kubembelezwa; hakutetemeka juu <strong>ya</strong> vitisho. Kwamba Malkia<br />

akatangaza kwamba alifundisha watu kukubali dini iliyokatazwa na serekali, na kwa hivyo<br />

alivunja pia amri <strong>ya</strong> Mungu inayolazimisha watu kutii watawala wao. Knox akajibu kwa<br />

ujasiri: “Kama watoto wa Izraeli wote walikubali dini <strong>ya</strong> Farao ambao walikuwa watu wake,<br />

nakuuliza, Bibilia, ni dini <strong>ya</strong> namna gani ingaliweza kuwa katika dunia? Ao kama watu wote<br />

katika siku za mitume, wangalikuwa wa dini <strong>ya</strong> wafalme wa Roma, ni dini <strong>ya</strong> namna gani<br />

ingalikuwa mbele <strong>ya</strong> uso wa dunia?”<br />

Akasema Marie: “Mnatafsiri Maandiko kwa namna ingine, na (Wakatoliki wa Roma)<br />

wanatafsiri kwa namna ingine; nitamwamini nani, na ni nani atakuwa mwamzi?”<br />

“Utamwamini Mungu, ile inasemwa wazi katika Neno lake,” akajibu Mtengenezaji. ...<br />

Neno la Mungu linakuwa wazi ndani <strong>ya</strong>ke lenyewe; na kama kukionekana giza lolote katika<br />

mahali fulani, Roho Mtakatifu, asiyekuwa na mabishano kati <strong>ya</strong>ke mwenyewe, hueleza<br />

namna moja wazi zaidi mahali pengine.”<br />

Kwa moyo usio na hofu Mtengenezaji shujaa, kwa ajili <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke, akaendelea na<br />

kusudi lake, hata Scotland ikapata uhuru kutoka kwa kanisa la Papa.<br />

Kuimarishwa kwa dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kama dini <strong>ya</strong> taifa katika Uingereza kulituliza<br />

mateso lakini bila kuikomesha kabisa. Mengi katika maagizo <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong>liendelea. Mamlaka<br />

<strong>ya</strong> Papa ilikataliwa, lakini mahali tu ambapo mfalme alipewa kiti kama kichwa cha kanisa.<br />

Katika ibada watu walikuwa wakingali mbali na utakatifu wa injili. Uhuru wa dini ulikuwa<br />

haujafahamika. Ijapo matatizo <strong>ya</strong> kutisha ambayo Roma ilitumia ilipata kimbilio lakini kwa<br />

shida na wakuu wa <strong>Kiprotestanti</strong>, kwani haki <strong>ya</strong> kila mtu kuabudu Mungu kufuata zamiri <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe haikukubaliwa. Wakaidi walipata mateso kwa mamia <strong>ya</strong> miaka.<br />

99

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!