12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kijana kwa uchungu aliona ni kinyume kwa ukosefu wa tumaini lake mwenyewe na giza. Juu<br />

<strong>ya</strong> Biblia, alijua, “wazushi” walidumisha imani <strong>ya</strong>o. Akakusudia kujifunza Biblia yenyewe<br />

na kuvumbua siri <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong>o.<br />

Ndani <strong>ya</strong> Biblia akampata Kristo. “Ee Baba,” akalia, “Kafara <strong>ya</strong>ke ilituliza hasira <strong>ya</strong>ko;<br />

Damu <strong>ya</strong>ke imesafisha takataka zangu; Msalaba wake ulichukua laana <strong>ya</strong>ngu; Mauti <strong>ya</strong>ke<br />

ilitoa kafara kwa ajili <strong>ya</strong>ngu. ... Umegusa moyo wangu, ili niweze kusimama katika matendo<br />

mema mengine yote kama mahukizo isipokuwa matendo mema <strong>ya</strong> Yesu.<br />

Sasa akakusudia kutoa maisha <strong>ya</strong>ke kwa injili. Lakini kwa tabia alikuwa mwenye woga<br />

na alitamani kujitoa mwenyewe kujifunza. Maombi <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong> rafiki zake, lakini, mwishowe<br />

<strong>ya</strong>kashinda ukubali wake kwa kuwa mwalimu wa watu wote. Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa kama<br />

umande unaoanguka kwa kuburudisha udongo. Alikuwa sasa katika mji wa jimbo chini <strong>ya</strong><br />

ulinzi wa binti kifalme Margeurite, ambaye, kwa kupenda injili, akaeneza ulinzi wake kwa<br />

wanafunzi wake. Kazi <strong>ya</strong> Calvin ikaanza pamoja na watu nyumbani mwao. Wale waliosikia<br />

ujumbe wakachukua Habari Njema kwa wengine. Akaendelea, kuweka msingi wa makanisa<br />

<strong>ya</strong>liyopaswa kutoa ushuhuda hodari kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli.<br />

Mji wa Paris ulipashwa kupokea mwaliko mwengine kwa kukubali injili. Mwito wa<br />

Lefévre na Farel ulikataliwa, lakini ujumbe ulipashwa kusikiwa tena kwa vyeo vyote katika<br />

mji mkuu ule. Mfalme alikuwa hajakamata mpango wa kuwa upande wa Roma kupinga<br />

Matengenezo. Margeurite (dada <strong>ya</strong>ke) alitamani kwamba imani <strong>ya</strong> Matengenezo ihubiriwe<br />

katika Paris. Akaagiza mhubiri wa <strong>Kiprotestanti</strong> kuhubiri katika makanisa. Jambo hili<br />

likakatazwa na mapadri wa Papa, binti mfalme akafungua jumba. Ikatangazwa kwamba kila<br />

siku hotuba inapaswa kufanyika, na watu wakaalikwa kuhuzuria. Maelfu wakakusanyika kila<br />

siku.<br />

Mfalme akaagiza kwamba makanisa mawili <strong>ya</strong> Paris <strong>ya</strong>lipaswa kufunguliwa. Kamwe mji<br />

ulikuwa haujavutwa na Neno la Mungu kama wakati ule. Kiasi, usafi, utaratibu, na utendaji,<br />

mambo <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>kachukua pahali pa ulevi, uasherati, shindano, na uvivu. Weakati walikubali<br />

injili, walio wengi wa watu wakaikataa. Wakatoliki wakafaulu kupata tena uwezo wao. Tena<br />

makanisa <strong>ya</strong>kafungwa na mti wa kufungia watu wakuchomwa ukasimamishwa.<br />

Calvin alikuwa akingali Paris. Mwishowe mamlaka ikakusudia kumleta kwa ndimi za<br />

moto. Hakuwa na mawazo juu <strong>ya</strong> hatari wakati rafiki walikuja kwa haraka kwa chumba chake<br />

na habari kwamba wakuu walikuwa njiani mwao kumfunga. Kwa wakati ule sauti <strong>ya</strong> bisho<br />

likasikiwa kwa mlango wa inje. Hapo hapakuwa na wakati wa kupoteza. Rafiki wakakawisha<br />

wakuu mlangoni na wengine wakasaidia Mtengenezaji kumshusha chini kwa dirisha, na kwa<br />

haraka akaenda kwa nyumba ndogo <strong>ya</strong> mtu wa kazi aliyekuwa rafiki wa Matengenezo.<br />

Akajigeuza mwenyewe kwa mavazi <strong>ya</strong> mwenyeji wake na, kuchukua jembe mabegani,<br />

akaanza safari <strong>ya</strong>ke. Akasafiri upande wa Kusini, akapata tena kimbilio katika utawala wa<br />

Margeurite.<br />

86

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!