12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

fundi wa kufan<strong>ya</strong> hema, kila mmoja wao alijifunza kazi fulani ambayo kwayo, kama ni<br />

lazima, kingemusaidia kwa kujitegemea mwenyewe.<br />

Vijana walipata mafundisho <strong>ya</strong>o kwa wachungaji wao. Biblia ilifanywa kuwa masomo <strong>ya</strong><br />

mhimu. Injili za Matayo na Yoane ziliwekwa katika ukumbusho, pamoja na barua nyingine.<br />

Mara zingine katika mapango <strong>ya</strong> giza udongoni, kwa nuru <strong>ya</strong> mienge (torches), Maandiko<br />

matakatifu <strong>ya</strong>liandikwa, mstari kwa mstari. Malaika kutoka mbinguni wakazunguuka<br />

watumishi hawa waaminifu.<br />

Shetani alilazimisha mapadri wa Papa na maaskofu kuzika Neno la Ukweli chini <strong>ya</strong><br />

machafu <strong>ya</strong> makosa na ibada <strong>ya</strong> uchawi. Lakini kwa namna <strong>ya</strong> ajabu likalindwa bila<br />

kuchafuliwa wakati wa miaka yote <strong>ya</strong> giza. Kama safina juu <strong>ya</strong> mawimbi mazito, Neno la<br />

Mungu linashinda zoruba zinazolitisha kuliharibu. Kama vile dini <strong>ya</strong>mefikia bamba la jiwe<br />

lenye zahabu na feza iliyofichwa chini upande wa juu, ni vivyo hivyo Maandiko matakatifu<br />

<strong>ya</strong>nakuwa na hazina <strong>ya</strong> ukweli iliyofunuliwa tu kwa wanyenyekevu, wanaopenda kuomba<br />

Mungu alichagua Biblia kuwa kitabu cha mafundisho <strong>ya</strong> wanadamu wote kuwa ufunuo wake<br />

mwenyewe. Kila ukweli uliotambuliwa ni uvumbuzi mup<strong>ya</strong> wa tabia <strong>ya</strong> Mwandishi wake.<br />

Kutoka kwa vyuo v<strong>ya</strong>o katika milima vijana wengine walitumwa kujifunza katika<br />

Ufaransa ao Italia, ambapo palikuwa na nafasi kubwa zaidi kwa mafundisho na uchunguzi<br />

kuliko katika inchi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> milima mirefu. Vijana waliotumwa walijihatarisha kwa majaribu.<br />

Walipambana na wajumbe wa Shetani waliowalazimisha mambo <strong>ya</strong> kipinga ukweli wa dini<br />

na madanganyo <strong>ya</strong> hatari. Lakini elimu <strong>ya</strong>o tokea utoto ikawata<strong>ya</strong>risha kwa jambo hili.<br />

Katika vyuo po pote walipokwenda hawakuweka tumaini lao kwa kitu cho chote. Mavazi<br />

<strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lita<strong>ya</strong>rishwa kama kuficha hazina zao kubwa-Maandiko. Mara kwa mara walivyoweza<br />

waliweka kwa uangalifu sehemu za maandiko njiani mwa wale ambao mioyo <strong>ya</strong>o ilionekana<br />

kufunguliwa kwa kupokea ukweli. Waiiotubu na kukubali imani <strong>ya</strong> kweli walipatikana katika<br />

vyuo hii v<strong>ya</strong> elimu, mara kwa mara mafundisho <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kweli ikaenea kwa chuo chote<br />

kizima. Huku waongozi wa Papa hawakuweza kupata mwanzo wa kile walichoitwa<br />

“Upinzani wa mafundisho <strong>ya</strong> dini”.<br />

Vijana Walifundishwa Kuwa Wajumbe (wa injili)<br />

Wakristo Wavaudois walijisikia kuwa na madaraka makuu <strong>ya</strong> kutoa nuru <strong>ya</strong>o iangaze.<br />

Kwa uwezo wa Neno la Mungu walitafuta kuvunja utumwa ambao Roma ililazimisha.<br />

Wahudumu wa Wavaudois walipaswa kutumika kwa miaka tatu katika shamba la misioni<br />

kabla <strong>ya</strong> kuongoza kanisa nyumbani--chanzo cha kufaa kwa maisha <strong>ya</strong> mchungaji katika<br />

n<strong>ya</strong>kati ambazo roho za watu zinajaribiwa. Vijana waliona mbele <strong>ya</strong>o, si utajiri wa kidunia<br />

na sifa, bali taabu na hatari na labda mateso <strong>ya</strong> wafia dini. Wajumbe walitembea wawili<br />

wawili, kama vile Yesu alivyowatuma wanafunzi wake.<br />

Kama wangejulisha ujumbe wao wangeuletea kushindwa. Kila mhuburi alikuwa na ujuzi<br />

wa kazi fulani ao ufundi, na wajumbe waliendesha kazi <strong>ya</strong>o chini <strong>ya</strong> kifuniko cha mwito wa<br />

25

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!