12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

heshima, na kupokelewa mbele <strong>ya</strong> mkutano wa heshima sana katika ulimwengu. ... Roma<br />

ilikuwa ikishuka kutoka kitini chake, nailikuwa ni sauti la mtawa lililomushusha.”<br />

Mzaliwa mnyenyekevu Mtengenezaji akaonekanamwenye kutishwa na kufazaika.<br />

Wafalme wengi, wakamkaribia, na mmoja akamnongoneza “Musiwaogope wanaoua mwili<br />

lakini hawawezi kuua nafsi.” Mwengine akasema: “Na mutakapopelekwa mbele <strong>ya</strong> watawala<br />

na wafalme kwa ajili <strong>ya</strong>ngu, mtapewa kwa njia <strong>ya</strong> roho wa baba yenu lile mtakalo lisema.”<br />

Tazama Matayo 10:28, 18, 19.<br />

Ukim<strong>ya</strong> mwingi ukawa juu <strong>ya</strong> mkutano uliosongana. Ndipo afisa mmoja wa mfalme<br />

akasimama na, kushota kwa maandiko <strong>ya</strong> Luther, akauliza kwamba Mtengenezaji ajibu<br />

maswali mawili-ao ata<strong>ya</strong>kubali kwamba ni <strong>ya</strong>ke, na ao atakusudia kukana mashauri<br />

<strong>ya</strong>nayoandikwa humo. Vichwa v<strong>ya</strong> vitabu vilipokwisha kusomwa, Luther, kwa swali la<br />

kwanza, akakubali vitabu kuwa v<strong>ya</strong>ke. “Kwa swali la pili,” akasema, ningetenda bila busara<br />

kama ningejibu bila kufikiri. Ningehakikisha kidogo kuliko hali <strong>ya</strong> mambo inavyotaka, ao<br />

zaidi kuliko kweli inavyotaka. Kwa sababu hiyo ninaomba mfalme mtukufu, kwa<br />

unyenyekevu wote, unitolee wakati, ili nipate kujibu bila kukosa juu <strong>ya</strong> neno la Mungu.”<br />

Luther akasadikisha makutano kwamba hakutenda kwa hasira ao bila kufikiri. Utulivu<br />

huu, na kujitawala, isiyotazamiwa kwa mtu aliyejionyesha kuwa mgumu na asiyebadili shauri<br />

<strong>ya</strong>kamwezesha baadaye kujibu kwa busara na heshima ikashangaza maadui zake na kukemea<br />

kiburi chao.<br />

Kesho <strong>ya</strong>ke alipashwa kutoa jibu lake la mwisho. Kwa mda moyo wake ukadidimia.<br />

Maadui zake walionekana kwamba wangeshinda. Mawingu <strong>ya</strong>kakusanyika kando <strong>ya</strong>ke na<br />

<strong>ya</strong>kaonekana kumtenga na Mungu. Katika maumivu <strong>ya</strong> roho akatoa malalamiko <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong><br />

kuhuzunisha sana, ambayo Mungu tu anaweza ku<strong>ya</strong>fahamu kabisa.<br />

“Ee Mwenyezi Mungu wa milele!” akapaza sauti; “kama ni kwa nguvu za ulimwengu huu<br />

tu ambapo napashwa kutia tumaini langu, yote imekwisha. ... Saa <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> mwisho imefika,<br />

hukumu <strong>ya</strong>ngu imekwisha kutangazwa. ... Ee Mungu, unisaidie juu <strong>ya</strong> hekima yote <strong>ya</strong><br />

ulimwengu. ... Mwanzo ni wako, ... na ni mwanzo wa haki na wa milele. Ee Bwana, unisaidie!<br />

Mungu mwaminifu na asiyebadilika, mimi si mtumainie mtu ye yote. ... Umenichagua kwa<br />

kazi hii. ... Simama kwa upande wangu, kwa ajili <strong>ya</strong> jina la mpendwa wako Yesu Kristo,<br />

anayekuwa mkingaji wangu, ngao <strong>ya</strong>ngu, na mnara wangu wa nguvu.”<br />

Lakini haikuwa hofu <strong>ya</strong> mateso, maumivu, wala mauti <strong>ya</strong>ke mwenyewe ambayo ilimlemea<br />

na hofu kuu. Alijisika upungufu wake. Katika uzaifu wake madai <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>ngeweza kupata<br />

hasara. Si kwa usalama wake mwenyewe, bali kwa ajili <strong>ya</strong> ushindi wa injili alishindana na<br />

Mungu. Katika ukosefu wa usaada imani <strong>ya</strong>ke ikashikilia juu <strong>ya</strong> Kristo, Mkombozi mkuu.<br />

Hangeonekana pekee <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> baraza. Amani ikarudi kwa roho <strong>ya</strong>ke, na akafurahi<br />

kwamba aliruhusiwa kuinua Neno la Mungu mbele <strong>ya</strong> watawala wa mataifa.<br />

60

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!