12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kando pamoja na <strong>ya</strong> ine. Watoto hawangekataa kukamata maisha <strong>ya</strong> wazazi wao kama kwa<br />

kufan<strong>ya</strong> vile wangeweza kupata tamaa <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong>o iliyoharibika. Ulimwengu uliostaarabika<br />

ungekuwa kundi la wezi na wauaji wa siri, na amani na furaha ingekomeshwa duniani.<br />

Ta<strong>ya</strong>ri mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefungua milango <strong>ya</strong> uovu ulimwenguni. Bila sheria na uovu<br />

vinafiagia kama pepo kali <strong>ya</strong> kipwa. Hata katika nyumba za wale wanaojidai kuwa Wakristo<br />

kunakuwa unafiki, mvunjo wa urafiki, usaliti wa matumaini matakatifu, upendeleo wa tamaa<br />

mba<strong>ya</strong>. Kanuni za dini, msingi wa maisha <strong>ya</strong> ushirika, unaonekana wa kutikisika sana karibu<br />

kuanguka. Wavunja sheria waovu mara kwa mara wanafanywa kuwa wenye kupokea mambo<br />

<strong>ya</strong> uangalifu kama kwamba walifikia sifa nzuri. Matangazo makubwa <strong>ya</strong>metolewa kwa<br />

makosa <strong>ya</strong>o. Mtambo wa kupiga chapa unatangaza maelezo <strong>ya</strong> uasi wa uovu, kuingiza<br />

wengine katika madanganyo, wizi, na uuaji. Kupumbazuka kwa kosa, kukosa kuwa na kiasi<br />

kwa kutisha na uzalimu wa namna yo yote ulipasa kuamsha mambo yote. Ni kitu gani<br />

kinaweza kufanyika kuzuia mwendo wa uovu?<br />

Kukosa Kiasi Kumetia Wengi Katika Mashaka<br />

Baraza za hukumu zimeharibika, watawala wamevutwa na tamaa kwa faida na upendo wa<br />

anasa za mambo <strong>ya</strong> uasherati. Kukosa kiasi kumetia wengi katika mashaka hivyo Shetani<br />

amekuwa na utawala karibu kamili juu <strong>ya</strong>o. Wana sheria wamapotoshwa, wanavutwa kwa<br />

feza (rushwa), wamedanganyika. Ulevi na ulafi, udanganyifu wa kila namna, unaonekana<br />

miongoni mwa wale wanaosimamia sheria. Sasa Shetani hawezi tena kulinda ulimwengu<br />

chini <strong>ya</strong> utawala kwa njia <strong>ya</strong> kuzuia Maandiko, anatumia njia zingine kwa kutimiza kusudi<br />

lile lile moja. Kwa kuharibu imani katika Biblia ni kutumia pia kuharibu Biblia yenyewe.<br />

Ni kama katika miaka <strong>ya</strong> kwanza, alikuwa akitumika katika makanisa kuendelesha<br />

mashauri <strong>ya</strong>ke. Kwa kupinga mambo <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> watu wengi katika Maandiko,<br />

wanatumia maelezo ambayo <strong>ya</strong>napenda kueneza mbegu za mashaka. Kushikama na kwa kosa<br />

la Papa la maisha <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong> asili na ufahamu wa mtu katika mauti, wanakataa ulinzi wa<br />

kipekee juu <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha<br />

na kuongea na watu (spiritualisme). Mafundisho wa maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele <strong>ya</strong>meongoza<br />

wengi kuwa kutoamini Biblia. Kwa madai <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine <strong>ya</strong>navyoshurutisha, inaoonekana <strong>ya</strong><br />

kuwa kushika Sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> saba kunaamriwa; na kwa namna inavyokuwa njia moja tu<br />

kwa kujiokoa wenyewe kwa shuguli ambayo hawataki kuifan<strong>ya</strong>, waalimu wa watu wote<br />

wakatupilia mbali sheria <strong>ya</strong> Mungu na Sabato pamoja. Kama matengenezo <strong>ya</strong> Sabato<br />

inavyoenea, kukataa huku kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu kwa kuepuka amri <strong>ya</strong> ine kutakuwa karibu<br />

kuenea pote. Waongozi wa dini wanafungua mlango kwa kumkana Mungu, kwa imani <strong>ya</strong><br />

kuwa roho za watu waliokufa kurudi na kujionyesha na kuongea na watu (spiritualisme), na<br />

zarau kwa sheria takatifu <strong>ya</strong> Mungu-daraka la kutisha kwa uovu unaokuwako katika jamii la<br />

Kikristo.<br />

Kwani jamii lilelile linalodai <strong>ya</strong> kama mkazo wa kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

kungesitawisha mafundisho <strong>ya</strong>hali <strong>ya</strong> kijamii. Ni mojawapo <strong>ya</strong> mashauri <strong>ya</strong> Shetani<br />

238

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!