12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kosa la Hatari<br />

Kosa la mauti ambalo lilileta msiba wa namna hiyo kwa Ufransa lilikuwa kuitokujali kwa<br />

ukweli huu mmoja mkubwa; uhuru wa kweli unaokuwa katikati <strong>ya</strong> makatazo <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong><br />

Mungu. “Laiti ungalisikiliza maagizo <strong>ya</strong>ngu! Ndipo salama <strong>ya</strong>ko ingalikuwa kama mto, na<br />

haki <strong>ya</strong>ko kama mawimbi <strong>ya</strong> bahari.” Isa<strong>ya</strong> 48:18. Wale ambao hawatasoma fundisho kutoka<br />

kwa Kitabu cha Mungu wanaalikwa kulisoma katika historia.<br />

Wakati Shetani alitenda kwa njia <strong>ya</strong> kanisa la Roma kuongoza watu kuacha utii, kazi <strong>ya</strong>ke<br />

ikageuka.. Kwa kazi <strong>ya</strong> Roho wa Mungu makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kazuiwa kufikia matumizi <strong>ya</strong>o<br />

kamili. Watu hawakutafuta matokeo kwa mwanzo wake na kuvumbua asili <strong>ya</strong> taabu zao.<br />

Lakini katika mapinduzi sheria <strong>ya</strong> Mungu iliwekwa kando kwa wazi na Baraza la Taifa. Na<br />

katika Utawala wa Hofu Kuu uliofuata, kazi na matokeo <strong>ya</strong>liweza kuonekana kwa wote.<br />

Kuvunja sheria <strong>ya</strong> haki na nzuri matunda <strong>ya</strong>ke inapaswa kuwa maangamizi. Roho wa<br />

Mungu wa kiasi, ambaye analazimisha uaguzi juu <strong>ya</strong> uwezo mkali wa Shetani, uliotoka kwa<br />

kiasi kikubwa, na yule ambaye furaha <strong>ya</strong>ke ni taabu <strong>ya</strong> watu aliruhusiwa kufan<strong>ya</strong> mapenzi<br />

<strong>ya</strong>ke. Wale waliochagua uasi waliachiwa kuvuna matunda <strong>ya</strong>ke. Inchi ikajaa na zambi.<br />

Kutoka mitaa iliyoteketezwa na miji iliyoangamizwa kilio, cha kutisha kilisikiwa cha<br />

maumivu makali. Ufransa ukatikisishwa kama kwa tetemeko. Dini, sheria, kanuni <strong>ya</strong> watu<br />

wote, jamaa, serkali, na kanisa--vyote vikashindwa na mkono mpotovu ambao uliinuliwa<br />

kupinga sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Washuhuda waaminifu wa Mungu, waliochinjwa kwa uwezo wa dini <strong>ya</strong> yule “anayotoka<br />

katika shimo pasipo mwisho,” hawakubakia kim<strong>ya</strong>.” Na nyuma <strong>ya</strong> siku tatu na nusu, roho <strong>ya</strong><br />

uhai ikatoka kwa Mungu ikaingia ndani <strong>ya</strong>o, wakasimama juu <strong>ya</strong> miguu <strong>ya</strong>o; woga mkubwa<br />

ukaangukia watu wote waliowatazama.” Ufunuo 11:11. Katika mwaka 1793 Baraza la Taifa<br />

la Ufransa likaweka amri za kutenga Biblia kando. Miaka mitatu na nusu baadaye, shauri la<br />

kutangua amri hizi likakubaliwa na mkutano ule ule. Watu wakatambua lazima <strong>ya</strong> imani<br />

katika Mungu na Neno lake kama msingi wa uwezo na maarifa <strong>ya</strong> wema na uba<strong>ya</strong>.<br />

Kwa habari <strong>ya</strong> “washuhuda wawili” (Maagano <strong>ya</strong> Kale na Jip<strong>ya</strong>) nabii akatangaza zaidi:<br />

“Wakasikia sauti kubwa kutoka mbingu ikisema kwao: Pandeni hata hapa. Wakapanda<br />

mbinguni katika wingu, adui zao wakiwatazama.” Ufunuo 11:12. “Washahidi hawa wawili<br />

wa Mungu” wakaheshimiwa zaidi kuliko mbele. Katika mwaka 1804 Chama cha Biblia cha<br />

Uingereza na inchi za kigeni kikatengenezwa, kikafuatwa na matengenezo <strong>ya</strong> namna hii juu<br />

<strong>ya</strong> bara la Ula<strong>ya</strong>. Katika mwaka 1816 chama cha Biblia cha Waamarica kikaimarishwa. Biblia<br />

ikatafsiriwa tangu hapo katika mamia mengi <strong>ya</strong> lugha na matamko. (Tazama Nyongezo).<br />

Mbele <strong>ya</strong> mwaka 1792, uangalifu kidogo ukatolewa kwa watu waliopasha kwenda<br />

kufundisha na inchi za kigeni. Lakini karibu <strong>ya</strong> mwisho wa karne <strong>ya</strong> kumi na mnane<br />

mabadiliko kubwa <strong>ya</strong>kafanyika. Watu wakawa hawatoshelewi na kufuata akili za binadamu<br />

113

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!